Wadau waitaka Serikali iwajibike kuwalinda wenye ualbino

Dar es Salaam. Zikiwa zimepita siku sita tangu kunyakuliwa kwa mtoto mwenye ualbino, Asimwe Novatus (2) na watu wasiojulikana kijijini kwao Bulamula mkoani Kagera, baadhi ya wadau wameshauri kuwe na mikakati endelevu ya kuwalinda watu wenye ulemavu huo. Asimwe alinyakuliwa kwenye mikono ya mama yake Mei 30, 2024 katika Kijiji cha Bulamula, Kata ya Kamachumu,…

Read More

Kutoka kilio hadi kicheko cha maji Uhambingeto

Iringa. Wakazi wa Kijiji cha Uhambingeto, Jimbo la Kilolo mkoani Iringa wamempokea Naibu Waziri wa Maji, Kundo Mathew kwa shangwe na nderemo baada ya kuanza kupata maji kijijini humo. Mwaka 2023, wananchi hao walimpokea aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo kwa kuangua vilio wakilalamika kukwama kwa mradi wa maji. Baadaye, Waziri wa Maji, Jumaa…

Read More

Mabaraza ya Habari Afrika kukutana Arusha

Arusha. Tanzania inajiandaa kuwa mwenyeji wa mkutano wa pili wa mabaraza ya Habari Afrika 2025, ulioandaliwa na Mtandao wa Mabaraza Huru ya Habari Afrika (NIMCA) kwa kushirikiana na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Mkutano huo wa siku tatu utaanza Julai 14 hadi 17,2025 katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), ambapo Makamu wa Rais,…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Kila la kheri Aisha Masaka England

MTANZANIA Aisha Masaka juzi alikamilisha uhamisho wa kujiunga na timu ya wanawake ya Brighton inayoshiriki Ligi Kuu ya Wanawake ya England ambayo msimu uliopita ilimaliza ikiwa nafasi ya 10. Masaka amejiunga na Brighton akitokea BK Hacken ambayo mwaka 2022 alijiunga nayo akitokea Yanga Princess. Kitendo cha Aisha Masaka kujiunga na Brighton kinamfanya kuwa Mtanzania wa…

Read More

Bhutans ujasiri bet juu ya hali ya hewa, utamaduni na kuridhika – maswala ya ulimwengu

Great Buddha Dordenma, sanamu kubwa ya Shakyamuni Buddha katika milima ya Bhutan. Wakati nchi inasifiwa kama nchi pekee ya kaboni ulimwenguni, iko katika hatari ya mabadiliko ya hali ya hewa. Mikopo: Zofeen Ebrahim/IPS na Zofeen Ebrahim (Thimpu, Bhutan) Jumatano, Juni 18, 2025 Huduma ya waandishi wa habari THIMPU, Bhutan, Jun 18 (IPS)-“Siwezi kupata mahali pengine…

Read More

Tanzania yaanza kujipanga uzalishaji umeme kwa nyuklia

Dar es Salaam. Mpango wa Tanzania kutumia nyuklia kama chanzo cha nishati umeanza, baada ya kusaka teknolojia ya kuzalisha umeme kwa nishati hiyo bila kusababisha madhara. Hatua hiyo inakuja wakati Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (Taec) imeingia makubaliano ya kushirikiana na Shirika la Global Center for Nuclear Energy Partnership la nchini India. Makubaliano haya…

Read More