
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 31,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 31,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 31,2024 Featured • Magazeti About the author
Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe akizungumza kwenye ufunguzi wa Mkutano wa Kawaida wa Sita wa Baraza la Mawaziri la Kisekta la Uvuvi na Ukuzaji Viumbe maji katika Ziwa Victoria la EAC kwa Ngazi ya Makatibu Wakuu uliofanyika jijini Arusha.Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Miundombinu ya Uchumi na Huduma za Jamii…
MACHO hayaamini yanachokiona kwenye ukurasa wa Instagram wa nahodha wa Simba, John Bocco ambaye msimu huu hakuonekana uwanjani kwa muda mrefu kutokana na majeraha. Ninachokisoma ni anko John Bocco amewaaga rasmi mashabiki wa timu hiyo kuwa anaachana nayo rasmi baada ya mkataba wake kumalizika akiwa ameitumikia kwa miaka saba. Kwangu, Bocco hajawaaga Simba pekee bali…
TUME ya Ushindani (FCC) imeendesha kongamano la siku moja kwa kuwakutanisha Wadau kutoka sekta mbalimbali leo Mei 30,2024, jijini Dar es Salaam ili kujadili namna ya kumlinda mlaji kutokana na matumizi ya akilia bandi ‘mnemba’ ama Artificial Intelegence (AI). Kongamano hilo lenye kauli mbiu: “Matumizi ya akili mnemba yanayozingatia haki na uwajibikaji kwa mlaji”,…
MSIMU wa 2020/2021, Gwambina FC ya Mwanza ilishuka daraja ikiwa ndio kwanza imeshiriki Ligi Kuu kwa msimu mmoja baada ya kumaliza ikiwa nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi iliyokuwa na timu 18. Kulikuwa na matumaini makubwa kwa timu hiyo ambayo maskani yake ilikuwa kule Misungwi, Mwanza angalau ingedumu Ligi Kuu kwa misimu kadhaa lakini…
Na Humphrey Shao MKUU wa mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila Amesema Jiji la Ilala pamoja na Halmashauri za Manispaa ya mkoa wa Dar es salaam Ni marufuku Kuendelea Kujenga ujenzi wa Msambao Kwa sababu ya Ardhi yake haipo kama ya mikoa mingine Hayo ameyasema Leo Tarehe 30 Mei 2024 Mkuu…
HONGERA sana Azam FC kwa kujihakikishia tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao ikiungana na Yanga iliyotwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliomalizika. Nimeamua kuwapongeza Azam kwa vile wana muda mrefu sana ambao wamekaa bila kushiriki mashindano hayo makubwa kwa klabu hapa Afrika. Kiufupi jamaa wameipambania hasa nafasi hiyo ya kuiwakilisha nchi…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 31, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 31, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Serikali ya Norway katika sekta mbalimbali. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipokutana na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes aliyefika Ikulu Zanzibar kwa kujitambulisha tarehe:30 Mei 2024. Aidha Rais Dk.Mwinyi alimueleza Balozi Tinnes kuwa Zanzibar…
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi wakipata maelezo juu ya kifaa cha ECG mashine kinavyofanya kazi walipotembelea banda la MUHAS katika Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Ujuzi, Elimu na Ubunifu yanayofanyika Jijini Tanga. Baadhi ya Wanafunzi wa sekondari wakipata maelezo ya program tumizi ( application) ya Afya AI jinsi inayofanya kazi katika Maadhimisho…