Yanga, Simba zapewa ubingwa Afrika

Dar es Salaam. Makocha na nyota wa zamani wa soka nchini wamezitabiria makubwa timu za Tanzania Bara zinazoshiriki mashindano ya klabu Afrika msimu ujao huku wakiamini zinaweza kutwaa ubingwa. Katika Ligi ya Mabingwa Afrika, Tanzania itawakilishwa na Yanga na Azam wakati kwenye Kombe la Shirikisho Afrika, wawakilishi ni Simba na Coastal Union. Kwa mujibu wa…

Read More

MAPISHI,BURUDANI NA MIJADALA VYANOGESHA SIKU YA KISWAHILI COMORO

WWatanzania waishio nchini Comoro na wananchi wa Kisiwa cha Ngazija na wanadiplomasia wameshiriki katika maadhimisho ya Siku ya Kiswahili Duniani kwa burudani mbali mbali pamoja na mijadala. Takribaj washiriki 500 wamejitokeza katika Ukumbi wa Bunge la nchi hiyo ambapo nyimbo za kitanzania,mashairi na maigizo vilipamba shughuli hiyo. Aidha,mapishi mbali mbali ya asili ya pwani yalinogesha…

Read More

TWIGA – BARRICK YAPONGEZWA KUNUFAISHA WATANZANIA KUPITIA SERA YA MAUDHUI YA NDANI (LOCAL CONTENT)

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde akipata maelezo jinsi ya utekelezaji wa ushirikishwaji wa watanzania kwenye sekta ya madini, kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Ugavi , Barrick North Mara , Enock Otieno (mwenye miwani) kwenye Jukwaa la nne la utekelezaji wa ushirikishwaji wa Watanzania kwenye sekta hiyo.Afisa Mawasiliano wa kampuni ya Barrick nchini, Neema…

Read More

Kesi ya ukahaba yaibua mapya, hakimu kuwashtaki waendesha mashtaka

Dar es Salaam. Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Sokoine Drive, Dar es Salaam, Lugano-Rachae Kasebele amewashtaki Mahakama Kuu, waendesha mashtaka katika kesi ya ukahaba inayowakabili washtakiwa watano, baada ya kuidharau mahakama hiyo kwa kushindwa kutekeleza amri alizotoa kwao. Hakimu Kasebele amefikia hatua hiyo baada ya amri mbili alizotoa Julai 8,2024 dhidi ya upande wa…

Read More

Watoto wa Mafuru waelezea maisha ya wazazi wao

Dar es Salaam. Ni historia iliyoibua hisia za simanzi kwa waombolezaji, wakati watoto wa marehemu Lawrence Mafuru, Lona na Loreen walipokuwa wakimwelezea baba yao kwenye ibada ya mwisho ya kumuaga. Mwili wa Mafuru utazikwa leo Novemba 15, 2024 kwenye makaburi ya Kondo, Tegeta baada ya ibada hiyo. Mafuru aliyekuwa Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango…

Read More