DKT. NCHEMBA ASHIRIKI KUMUAGA MTUMISHI WA TRA

Waziri wa fedha Dkt. Mwigulu Nchemba akiwafariji wafiwa mara baada ya kuaga mwili wa  aliyekuwa mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA), Aman Kamguna Simbayao leo Desemba 08, 2024 katika Viwanja vya Michezo TRA vilivyopo Kurasini jijini Dar es Salaam. Amani alifariki Dunia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kitengo cha Mifupa -Moi-Dar es salaam baada kushambuliwa…

Read More

Rais Samia ang’aka, azijibu balozi za Umoja wa Ulaya

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amejibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini, yaliyotaka uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu, akisema Tanzania ni nchi huru haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake. Katika majibu yake hayo, amewashutumu mabalozi hao akisema walichokitamka haamini kama ni maelekezo ya…

Read More

Bulaya aipongeza Chadema, awataja Lissu na Mbowe bungeni

Dodoma. Mbunge wa Viti Maalumu, Esther Bulaya amekipongeza Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kuendesha uchaguzi wa ndani kwa uwazi na kufuata misingi ya demokrasia. Bulaya ametoa pongezi hizo leo Alhamisi Februari 13, bungeni jijini Dodoma wakati wa mjadala wa taarifa ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)…

Read More

Mahakama yapokea vielelezo vinne kesi mauaji ya Masumbuko

Geita. Mahakama Kuu Masijala ndogo ya Geita, imepokea vielelezo vinne vilivyotolewa na upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji inayomkabili Zephania Ndalawa anayeshtakiwa kwa kosa la kumuua Thomas Masumbuko. Katika kesi hiyo iliyoko chini ya Jaji Graffin Mwakapeje vielelezo vilivyopokelewa mahakamani hapo ni pamoja na hati ya dharura ya upekuzi, shoka lililotumika kumjeruhi mtu lililotolewa…

Read More

JK AIPA PPAA CHANGAMOTO KUOKOA FEDHA ZA SERIKALI KATIKA MIRADI

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete ameipa Mamlaka ya Rufani ya Zabuni za Umma (PPAA) changamoto ya kuangalia jinsi ununuzi wa umma unavyoweza kuokoa fedha za umma na kuhakikisha kuwa Serekali inapata thamani ya fedha katika miradi yake inayoitekeleza. Mheshimiwa Kikwete ametoa changamoto hiyo wakati alipotembelea banda la PPAA katika maonesho…

Read More

Tanzania yaja na sera mpya ya uchumi wa buluu

Dar es Salaam. Ili kuhakikisha sekta ya uchumi wa buluu inagusa maisha ya watu kwa vitendo, Serikali imeanzisha sera mpya ya uchumi wa buluu nchini iliyo chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais. Sera hiyo imeanzishwa ili kuhakikisha sekta hiyo mpya ambayo ndiyo uelekeo wa nchi nyingi inaongozwa kwa utaratibu wa kisera na sheria. Hayo…

Read More

Je! Ni jamii gani za vijijini nchini Tanzania zinahitaji kujua juu ya biashara ya kaboni na haki za ardhi – maswala ya ulimwengu

Wawakilishi wa jamii ya Maasai huko Longido wanapokea cheki cha dhihaka kutoka kwa udongo kwa kampuni ya baadaye kama malipo ya kupunguza ardhi yao ya malisho mnamo Septemba 2024. Mkopo: Kizito Makoye/IPS na Kizito Makoye (Dar es salaam) Jumatatu, Mei 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari DAR ES SALAAM, Mei 19 (IPS) – Kama…

Read More