Ac Monaco kuhitaji kumsajili Broja.

Kwa mujibu wa L’Équipe, AS Monaco kwa sasa wapo kwenye mazungumzo na Chelsea kuhusu usajili wa Armando Broja (22). Klabu hiyo ya Principality kwa sasa inaongoza Watford na AC Milan katika mbio za kumsajili mshambuliaji huyo, ambaye alitumia kipindi cha pili cha msimu kwa mkopo katika klabu ya Fulham. Wiki iliyopita, Monaco ilithibitisha kuwa nahodha…

Read More

Waathirika wa mafuriko Rufiji wapewa mbegu za mahindi

Rufiji. Benki ya CRDB imekabidhi msaada wa mbegu za mahindi zenye thamani Sh50 milioni, kwa waathirika wa mafuriko yaliyotokea katika msimu wa masika Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani. Benki hiyo imekabidhi kilo 7,148.857 za mbegu za kisasa za mahindi, zitakazosambazwa kwa wananchi ili wazitumie katika msimu ujao wa kilimo ili kuhakikisha wanakuwa na chakula cha…

Read More

WABUNIFU WA MUHAS WANUFAIKA NA ELIMU YA HAKI MILIKI

Mwanaisha Sendekwa akitoa elimu kuhusu Haki Miliki kwa wabunifu kutoka MUHAS wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika viwanja vya Popatlal,  jijini TangaAfisa Haki Miliki kutoka COSOTA, Mwanaisha Sendekwa akiwa kwenye picha ya pamoja na wabunifu kutoka MUHAS baada ya kutoa elimu kwao juu ya haki miliki za…

Read More

Mziba, Boban waichambua Ligi Kuu Bara

BAADA ya msimu wa Ligi Kuu Bara kumalizika Jumanne ya Mei 28, 2024, mastaa wa zamani na makocha wamechambua ubora na mambo ya kufayafanyia marekebisho kwa ajili ya msimu ujao. Mwanaspoti limezungumza na wataalamu wa soka hao kwa nyakati tofauti, kitu kikubwa walichokitaja kinahitaji maboresho ni ukarabati wa viwanja pamoja na ratiba izingatie ramani za…

Read More

Bodi ya mfuko wa barabara yakusanya mapato asilimia 77.

Bodi ya Mfuko wa Barabara imekusanya mapato kwa asilimia 77 ya mapato yote ya bajeti ya mwaka 2023/24. Haya yamebainishwa bungeni na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25. Amesema katika mwaka wa fedha 2023/24, Bodi ilipanga kukusanya Shilingi bilioni 856.795 na kati ya fedha hizo,…

Read More

Wanawake jamii za wafugaji wanavyokabili mabadiliko ya tabianchi

Arusha/Manyara. Wanawake katika jamii za wafugaji, hususan Wamasai, hawahusishwi sana katika shughuli za uchumi za kujipatia kipato au kusaidia familia zao katika mahitaji ya kila siku. Hata hivyo, wapo waliojikomboa katika hili na kuamua kuchakarika kutokana na uhalisia wa hali ya maisha, hasa ukame ulioathiri shughuli za ufugaji. “Siku hizi ng’ombe siyo wengi na hawatoi…

Read More

ATE YATAJA VIGEZO VIPYA TUZO YA MWAJIRI MPYA WA MWAKA 2024

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), akizungumza na waandishi wa habari kutangaza kuzinduliwa kwa tuzo ya Mwajiri Bora wa mwaka 2024. Hafla ya kuzinduliwa kwa tuzo hizo imefanyika leo Mei 30, 2024 katika ofisi za ATE zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam. Na Karama Kenyunko Michuzi TvCHAMA cha Waajiri Tanzania (ATE), kimeongeza vigezo…

Read More

Wakazi wachekelea kukamilika mradi wa maji Songwe

Songwe. Baada ya shida ya miaka mingi, wakazi wa Kijiji cha Iseche wilayani Songwe wameanza kupumua baada ya mradi wa majisafi na salama uliokuwa ukijengwa katika eneo hilo kukamilika. Baadhi ya wanawake kijijini hapo wanasema kero ya maji ilikuwa ikiteteresha ndoa zao, kukamilika kwa mradi huo. Wamesema walikuwa wakitumia muda mwingi na kusaka maji kiasi…

Read More