Siri makusanyo ya Sh2.43 trilioni,  TRA ikiweka rekodi

Dar es Salaam. Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa fedha 2024/2025 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekusanya Sh2.43 kiwango ambacho hakijawahi kukusanywa ndani ya mwezi mmoja. Taarifa kwa umma iliyotolewa na TRA imeeleza kuwa makusanyo hayo ni sawa na ufanisi wa asilimia 104.4 ikilinganishwa na lengo la kukusanya Sh2.24 trilioni. “Makusanyo haya ni sawa…

Read More

Qatar yaendeleza juhudi za upatanishi Gaza – DW – 21.06.2024

Waziri wa mambo ya nje wa Qatar Sheikh Mohammed bin Abdulrahman Al-Thani amewaeleza waandishi wa habari wakati wa mkutano wa pamoja na waziri mwenzake wa Uhispania mjini Madrid kwamba juhudi za kutafuta usuluhishi zimeendeleabila ya kuingiliwa. Amesema wamekuwa na mikutano kadha na viongozi wa Hamas, kujaribu kuunganisha pande hizo mbili ili kufikiwa makubaliano yatakayochangia kusitishwa…

Read More

Kissu Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Mkurugenzi wa Africa Media Group, Shaaban Kissu, kuwa Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu. Taarifa ya uteuzi wa Kissu, imetolewa leo, Jumatano, Mei 7, 2025 na Katibu wa Rais, Waziri Salum katika hafla ya chakula cha mchana kati ya Rais Samia na wanahabari walishiriki tuzo…

Read More