Mrithi wa Dube apatikana Azam FC

AZAM FC imepania. Siku chache baada ya kumtambulisha kiungo, Ever Meza, klabu hiyo imekamilisha dili jingine la kumsajili mshambuliaji mpya, Jhonier Blanco kutoka klabu ya Aguilas Doradas inayoshiriki Ligi Kuu ya Colombia. Straika huyo (24) amesaini mkataba wa miaka minne kuitumikia klabu hiyo kuanzia msimu 2024 hadi 2028. Huo unakuwa usajili wa nne kwa Azam…

Read More

WATOA HUDUMA ZA FEDHA WAONYWA UVUNJAJI SHERIA

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Bi. Queen Sendiga, akipokea nyenzo za kufundishia   elimu ya fedha na majarida mbalimbali ikiwemo jarida lenye elimu ya uwekezaji kutoka kwa Afisa Mkuu Usimamizi wa Fedha kutoka Wizara ya Fedha, Idara ya Uendelezaji Sekta ya Fedha, Bw. Salim Kimaro, baada ya kufika Ofisini kwake kabla ya kuingia kwenye kikao cha…

Read More

PSG wanaonekana kutaka kumsajili Ibrahima Konate wa Liverpool.

Wakati Ibrahima Konaté (25) ana furaha katika Liverpool FC, hata licha ya kuondoka kwa Jürgen Klopp, Mfaransa huyo amebakiza miaka miwili tu kwenye mkataba wake. Anaonekana kama fursa inayowezekana kwa vilabu vingi kote Ulaya, pamoja na Paris Saint-Germain, kulingana na ripoti kutoka L’Équipe.Mazungumzo kuhusu kuongeza mkataba wa Konate yamekuwa yakiendelea kwa miezi kadhaa. Liverpool wamesalia…

Read More

Daladala 20 kuongeza nguvu Barabara ya Morogoro

Dar es Salaam. Ili kukabiliana na tatizo la usafiri kwa wakazi wa Mbezi wanaokwenda maeneo ya Mjini kupitia Barabara ya Morogoro, Mamlaka ya Udhibiti  Usafiri Ardhini(Latra), imeruhusu kurejeshwa kwa daladala 20. Daladala hizo ambazo kila moja inapaswa kuwa na uwezo wa kubeba abiria 40, zitawawezesha wakazi wa Mbezi na maeneo ya jirani kupata usafiri kwa…

Read More

Urus Tanzania yawashauri wafugaji kutumia mbegu za mifugo zilizoboreshwa kuongeza uzalishaji

Na Mwandishi Wetu  Urus Tanzania, ambayo  ni kampuni tanzu ya Urus global, inayojishughulisha na usambazaji wa mbegu bora za ng’ombe wa maziwa na nyama duniani,imewashauri wafugaji wazawa kutumia mbegu zilizofanyiwa utafiti na kuboreshwa ili kuongeza uzalishaji katika shughuli zao za ufugaji. Akiongea katika Maonesho ya 27 ya Wiki ya Maziwa yanayoendelea jijini Mwanza, Meneja Mkazi…

Read More

Ninja amalizana na Lubumbashi Sport, ofa mpya hizi hapa

OLIPA ASSAMWANASPOTI limepata taarifa za beki Abdallah Shaibu ‘Ninja’ kupelekewa ofa na klabu za ndani ya DR Congo kama TP Mazembe, AS Vita, FC Lupopo, baada ya kuachana rasmi na Lubumbashi Sport. Baada ya taarifa hizo alitafutwa Ninja ili kutoa ufafanuzi kama kuna ukweli juu ya hilo, alisema: “Nina barua ya kumalizana na klabu ya…

Read More

Kiungo wa kati wa Manchester City anajitoa kwa Barcelona.

Barcelona wanawinda kiungo wa kati msimu huu wa joto kuchukua nafasi ya Sergio Busquets, baada ya juhudi zao za kufanya hivyo wakiwa na Oriol Romeu kutofaulu mwaka huu. Baadhi ya watu wamekuwa wakihusishwa na klabu ya Blaugrana, lakini kiungo wa Manchester City, Kalvin Phillips ameamua kujiweka kwenye rada. Baada ya kupoteza nafasi yake katika timu…

Read More

Msigwa afunguka baada ya kuangushwa na Sugu

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kanda ya Nyasa, Mchungaji Peter Msigwa, amempongea Joseph Mbilinyi (Sugu) kwa kichaguliwa kurithi mikoba yake, katika uchaguzi uliofanyika Jana tarehe 29 Mei 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea). Akizungumza baada ya matokeo hayo kutangazwa jana Jumatano, Msigwa amesema siasa ni mchezo wa kuingia na kutoka…

Read More

Chalamila agusia Katiba mpya, wadau wamjibu

Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila ametaja mambo matatu anayotamani yangepewa kipaumbele kwenye Katiba mpya ikiwamo wasomi wanaomaliza vyuo bila kuwa na ajira kwa muda mrefu walipwe mshahara nusu hadi pale watakapopata ajira rasmi. Vipaumbele vingine ni wanafunzi wote wa vyuo vikuu wapewe mikopo na kusamehewa gharama za matibabu…

Read More