WABUNGE WATAKA BAJETI YA UJENZI IPITE//WALILIA IONGEZWE FEDHA

Wabunge wamepongeza kazi zinazofanyika katika Wizara ya Ujenzi huku wakitaka Kamati ya Bajeti kufanya mapitio upya ya bajeti ili kuongeza fedha kwa Wizara hiyo. Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa jana aliwasilisha bajeti ya Wizara hiyo akiomba bunge lipitishe Sh1.7 Trilioni kwa mwaka 2024/25 kiasi ambacho wabunge wanasema hakitafikia malengo kwani mvua zimeharibu miundombinu katika maeneo…

Read More

Reus anataka kuondoka Dortmund kwa kuifunga Madrid.

Marco Reus, mwanasoka wa kulipwa wa Ujerumani ambaye amekaa Borussia Dortmund kwa miaka 12, anatarajia kuondoka katika klabu hiyo kwa ushindi wa fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Real Madrid mnamo Juni 1, 2024, kwenye Uwanja wa Wembley. Reus, ambaye pia alitumia muongo mmoja katika klabu ya Dortmund akiwa mchezaji chipukizi, ameichezea klabu hiyo…

Read More

Mchakamchaka wa Matampi, Diarra kuwania tuzo huu hapa

MSIMU wa Ligi Kuu Bara 2023-2024 umetamatika juzi Jumanne huku Kipa wa Coastal Union, Ley Matampi akiibuka kinara wa clean sheets akimpiga bao Djigui Diarra wa Yanga. Matampi raia wa DR Congo, huu ni msimu wake wa kwanza kucheza Ligi Kuu Bara na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kitu ambacho kwake kinampandisha thamani. Kipa huyo amemaliza…

Read More

Jamii yashauri kuwa na matumizi bora ya aridhi kuepukana na majanga na athari za mabadiliko ya Tabia ya nchi.

Jamii imetakiwa kuacha tabia ya ujenzi holela wa mkazi na badala yake watumia wataalamu kwaajili ya kupanga makazi yao nahivyo kuyapa dhamani maeneo yao. Wito huo umetolewa na Daktari dawa magembe ambaye ni muhadhiri mwandamizi kutoka chuo kikuu aridhi wakati akizungumza na Millardayo.com katika maonesho ya Elimu,Ujuzi na Ubunifu yanayoendelea kufanyika jiji Tanga,na kusema kuwa…

Read More

Leonardo Bonucci atangaza kustaafu. – Millard Ayo

Leonardo Bonucci, mwanasoka mashuhuri wa Italia, alitangaza kustaafu kutoka kwa mchezo huo mnamo Mei 28, 2024. Bonucci, aliyezaliwa Mei 1, 1987, huko Arrese, Italia, alianza maisha yake ya soka mwaka 2005 akiwa na ALBA Calcio. Baadaye alichezea vilabu mbalimbali vya Italia vikiwemo Bari, Inter Milan, Juventus, na AC Milan. Maonyesho ya kuvutia ya Bonucci yalimpa…

Read More

MAAFISA UNUNUZI WAASWA KUTUMIA MIFUMO YA UNUNUZI KIELETRONIKI

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Chande (Mb.) amewaasa maafisa ununuzi wa taasasi za Serikali kuhakikisha kuwa shughuli zote za ununuzi wa umma zinafanyika katika mfumo wa ununuzi wa umma kieletroniki (NeST) ikiwa ni pamoja na kutumia moduli ya kuwasilisha malalamiko kieletroniki. Agizo hilo limetolewa na Mhe. Chande wakati wa ufunguzi wa mafunzo siku mbili…

Read More