Tanzania yapata mtambo wa kisasa wa uchorongaji madini

Geita. Tanzania imepata mtambo mkubwa wa uchorongaji madini ya dhahabu wenye uwezo wa kujiendesha, huku ukitarajiwa kuwa mwarobaini wa ajali mgodini na kuongeza uzalishaji wa dhahabu. Mtambo huo, wenye uwezo wa kuchoronga mita 400 kwenda chini, umenunuliwa na Shirika la Madini la Taifa (Stamico) kwa gharama ya Sh4 bilioni na utatumika kuchoronga madini katika mgodi…

Read More

Wakazi wa Manispaa ya Morogoro walia ubovu wa barabara

Morogoro. Wananchi wa Manispaa ya Morogoro wakiwemo madereva wa daladala na vyombo vingine vya moto wamelalamikia ubovu wa baadhi ya barabara katika manispaa hiyo unaosababisha uharibifu wa vipuri vya magari zikiwemo springi, sampo na kuchanika kwa magurudumu. Akizungumza na Mwananchi leo Juni 19, 2025, mmoja wa madereva wa daladala zinazofanya safari zake Kihonda – Manyuki…

Read More

Simba kuna jambo Kapombe afichua siri

UNAWEZA kusema Simba imekaa mguu sawa katika mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Bara, kwani rekodi zao za matokeo zinazungumza. Mabingwa hao wa Ligi Kuu Bara mara 22, kwa sasa ndiyo vinara wa ligi hiyo wakiwa na pointi 28 baada ya kucheza mechi 11, wakishinda tisa, sare moja na kupoteza moja. Timu hiyo inayonolewa…

Read More

42 mbaroni kwa tuhuma za uhalifu Tanga

Tanga. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limewakamata watu 42 katika operesheni maalumu ya kukabiliana na wahalifu, wanaohusishwa na makosa mbalimbali ya jinai katika maeneo tofauti ya mkoa huo. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake kuhusu watuhumiwa hao, leo Juni 18, 2025, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema watuhumiwa 29 wamekamatwa…

Read More

Simba v Stellenbosch hatari ipo hapa

UNAKUMBUKA mwaka 1993 wakati Simba inacheza fainali ya Kombe la CAF ambalo baadaye 2004 likaunganishwa na Kombe la Washindi kisha kuzaliwa Kombe la Shirikisho Afrika? Basi kwa kukukumbusha tu ni kwamba kabla ya mechi ya nusu fainali dhidi ya Atlético Sport Aviação, hali ilikuwa kama hivi ambavyo Jumapili hii Simba wanakwenda kucheza dhidi ya Stellenbosch….

Read More

Vigogo wa dawa za kulevya kubanwa kila kona

Dar es Salaam. Ni kibano kila mahali. Ndiyo inaweza kuwa tafsiri ya kilichofanywa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) baada ya kuingia makubaliano na Shirika la Posta Tanzania (TPC) kudhibiti usafirishaji wa dawa hizo kupitia vifurushi. Hatua hiyo imefikiwa kufuatia kuwepo kwa wimbi la watu wanaosafirisha dawa za kulevya kupitia…

Read More