Mtoto wa Zuma kortini akituhumiwa kuchochea ghasia

Durban. Duduzile Zuma-Sambudla, binti wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amefikishwa mahakamani leo Alhamisi Februari 6, 2025 baada ya kushtakiwa kwa kuchochea vurugu wakati wa ghasia za mwaka 2021 ambapo zaidi ya watu 300 waliuawa. Wakili wa Zuma-Sambudla amesema amekana mashitaka hayo. Waendesha mashtaka wanadai kuwa Zuma-Sambudla alichochea watu wengine kufanya vurugu…

Read More

Kouablan afunika Zambia akiwa Simba

Mshambuliaji wa Simba, Fred Kouablan ameibuka mfungaji Bora wa Ligi Kuu Zambia lakini akiwa nje ya Ligi hiyo kwa muda mrefu. Kouablan, ameibuka kinara wa mabao Zambia kwa mabao yake 14 ambayo hakuna mchezaji aliyeifikia licha ya straika huyo kuondoka nchini humo tangu Januari kwa ajili ya kujiunga na Simba. Na baada ya kutua Simba,…

Read More

Kihongosi apiga marufuku ‘miradi kichefuchefu’ Monduli

Monduli. Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Kenan Kihongosi ameonya wakandarasi wanaotekeleza miradi mbalimbali wilayani Monduli kutokuwa wazembe na kuwa kusiwepo miradi ‘kichefuchefu’ wilayani humo. Amewataka wananchi wa Mkoa wa Arusha kuheshimu vyombo vya ulinzi na usalama kwani vina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanakuwa salama na wamekuwa wakijitoa kuhakikisha Taifa linakuwa salama. Kihongosi ameyasema hayo leo…

Read More

Nyota Tabora United amzimia Mpanzu

BEKI wa zamani wa Polisi Tanzania na Yanga anayekipiga kwa sasa Tabora United, Yassin Mustafa amemtaja Elie Mpanzu, ndiye winga hatari zaidi katika Ligi Kuu Bara na ni Luis Miquissone mpya wa kikosi cha Simba. Mpanzu alijiunga na Simba dirisha dogo la usajili na tayari ameanza kuonyesha ubora katika kikosi hicho akiingia moja kwa moja…

Read More

Askofu: Charles Hillary mtu makini, alipenda kanisa

Dar es Salaam. Askofu wa Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Dar es Salaam, Jackson Sosthenes amesema Charles Hillary. alikuwa mtu makini na alilipenda kanisa. Kabla ya umauti, Charles alikuwa Mkurugenzi wa Idara ya Mawasiliano Ikulu ya Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Charles alifariki dunia Mei 11, 2025 wakati akipelekwa Hospitali…

Read More