Fountain Princess yabeba kiungo Iringa

FOUNTAIN Gate Princess iko kambini Dodoma ikijiandaa na maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake, lakini kuna sura mpya zimeonekana kambini. Timu hiyo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya saba na katika mechi 18 ilishinda mechi sita sare mbili na kupoteza 10 ikikusanya pointi 20. Miongoni mwa sura mpya ni pamoja na kiungo mshambuliaji…

Read More

Prisons yaachana na Otieno, Nsajigwa atajwa kumrithi

BAADA ya Tanzania Prisons kufikia makubaliano ya pande mbili kuachana na Kocha Zedeckia Evans Otieno, inaelezwa iko katika hatua nzuri ya mikoba yake kumkabidhi Shadrack Nsajigwa ‘Fuso’ kutoka kwa maafande wa Transit Camp. Taarifa ya Tanzania Prisons kuachana na Otieno iliyotolewa leo Februari 25, 2026 na Afisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, ‎Godfrey Madegwa, imesema:…

Read More

Wahamiaji haramu 10,960 wakamatwa wakiingia nchini, RC Mwassa akerwa

Bukoba. Idara ya uhamiaji mkoani Kagera imefanikiwa kuwakamata wahamiaji haramu 10,960 wakiingia nchini kinyemela kuanzia Januari hadi Septemba 2025. Akizungumza na Mwananchi Digital, Septemba 3, 2025 ofisa Uhamiaji Mkoa wa Kagera, Mrakibu mwandamizi, Eleneus Kasimbazi amesema idara hiyo ya uhamiaji Mkoa wa Kagera kupitia doria mbalimbali walizozifanya kwenye maeneo muhimu ya mipaka ya nchi jirani…

Read More

Beki Yanga ampa mtihani Camara, wakongwe watia neno

KIPA raia wa Guinea, Moussa Camara, anakabiliwa na mtihani mzito unaomuweka njiapanda ya kuendelea kuitumikia Simba ambapo hivi sasa ameondolewa kwenye mfumo wa usajili na mkataba wake unamalizika mwisho wa msimu huu. Kuondolewa kwa Camara katika mfumo wa usajili, kunatokana na majeraha ya goti aliyoyapata na kumuweka nje kwa muda mrefu hali iliyofanya dirisha dogo…

Read More

Yanga yarudi na siri kutoka Botswana

WAKATI kikosi cha Yanga alfajiri ya leo Jumapili kikiingia Dar es Salaam kikitoka Angola, kuna kitu ambacho kocha wa timu hiyo, Romain Folz anatamba nacho huku mwenyewe anasema bado yupo katika kuijenga timu imara msimu huu. Wakati Folz akiyasema hayo, kuna siri imefichuka huku Yanga ikiwa tayari imefanya mambo makubwa katika mechi mbili za kimashindano,…

Read More

Ziara ya Dk Mwigulu yaweka hatarini ajira za watendaji mikoani

Dar es Salaam. Huenda ziara zilizofanywa na Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, katika mikoa ya kaskazini zikaweka hatarini nafasi za baadhi ya watendaji serikalini kutokana na kubainika kwa kasoro za kiutendaji. Katika ziara hiyo iliyoanzia Mkoa wa Tanga Februari 13, 2026, kisha Kilimanjaro, Arusha na Manyara, Dk Mwigulu aliwabananisha watendaji wa Serikali akitaka kupatiwa ufafanuzi…

Read More