Viongozi wa ulimwengu wanapaswa kujitolea kwa haki za binadamu, haki ya kimataifa – maswala ya ulimwengu

Watu waliohamishwa kutoka Jabalia, Gaza, wanaishi katika jengo lililoharibiwa katika jiji la Gaza. Hatua ya kumaliza kumaliza uhalifu wa Israeli dhidi ya Wapalestina. Mikopo: Habari za UN na saa ya haki za binadamu (New York) Ijumaa, Septemba 19, 2025 Huduma ya waandishi wa habari New YORK, Septemba 19 (IPS) – Viongozi wa Ulimwenguni wakikusanyika kwenye…

Read More

UN inataka hatua za kuamua kumaliza migogoro wakati Gaza na Benki ya Magharibi inasumbua – maswala ya ulimwengu

“Leo ulimwengu unaonekana kwa kutisha kwani hali katika eneo lililochukuliwa la Palestina linaendelea kuzorota Viwango ambavyo havionekani katika historia ya hivi karibuni“Alisema Ramiz Alakbarov, Mratibu Maalum wa UN kwa mchakato wa amani wa Mashariki ya Kati, akizungumza kutoka Yerusalemu. Alianza kwa kuzingatia Gaza, ambayo “inazama zaidi ndani ya msiba, iliyowekwa alama na majeruhi wa raia,…

Read More

Kauli Wanazopenda Wanaume Kuzisikia Kwa Wenza Wao, Zipo Hapa – Global Publishers

HAKUNA kitu kizuri kwenye uhusiano kama kujua mwenzako anapenda nini. Unapomjua mwenzako anachokipenda, itakusaidia katika suala zima la kudumisha uhusiano. Ukimfanyia yale anayoyapenda, sio kwamba atafurahi tu bali unamtengenezea kumbukumbu nzuri.  Unatengeneza sifa njema kwa mwenzi wako. Anakuona umuhimu wako, anatambua utu wako na kukupa thamani ya kuwa mwenzi wake wa maisha. Ule ubinadamu au mambo…

Read More

KATIBU MKUU RAMEPRO,BONIVENTURA MWALONGO SAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO CHA MAREHEMU KARDINALI PENGO

Kwa masikitiko makubwa na huzuni nzito, tumepokea taarifa ya kifo cha Mwadhama Polycarp Cardinali Pengo, Askofu Mkuu Mstaafu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Marehemu alikuwa mchungaji mwaminifu na kiongozi mwenye hekima na busara, aliyeilitumikia Kanisa na Taifa kwa uaminifu mkubwa, akiacha alama isiyofutika katika mioyo ya wengi. Kwa niaba yangu binafsi na kwa…

Read More

DKT. NJELEKELA APONGEZA MOI KWA UTOAJI HUDUMA KATIKA KIKAO CHA WENYEVITI WA BODI NA WAKUU WA TAASISI ARUSHA

Na Mwandishi wetu- Arusha Mwenyekiti wa bodi ya wadhamini MOI Dkt. Marina Njelekela ameipongeza menejimenti ya MOI kwa uamuzi wake wa kushiriki na kutoa huduma kwa washiriki wa mkutano wa wenyeviti wa bodi na wakuu wa Taasisi unaofanyika katika ukumbi wa AICC Arusha. Dkt. Njelekela ametoa pongezi hizo Leo 25/08/2025 alipotembelea eneo la kutolea huduma…

Read More

Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 – Upinzani Kuliko Msukosuko – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Marco Longari/AFP Maoni na Inés M. Pousadela (montevideo, urugwai) Jumatatu, Machi 09, 2026 Inter Press Service MONTEVIDEO, Uruguay, Machi 9 (IPS) – Fikiria jinsi Siku ya Kimataifa ya Wanawake ilivyokuwa miaka michache iliyopita, na jinsi inavyoonekana sasa: tarehe hiyo hiyo, wakati uleule wa kimataifa wa kutafakari, lakini mandhari ya kimataifa iliyobadilika sana. Haki za…

Read More

Maboresho mfumo kodi na maendeleo tuyatakayo

………… Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga  Juhudi za kujiletea maendeleo zinategemea sana ufanisi wa ukusanyaji kodi kutoka kwa wananchi. Wizara, taasisi na vitengo mbalimbali wanaweza wakakaa chini kupanga, kujadili na kuja na mipango mingi mizuri ya maendeleo lakini itakapofika kipengele cha namna ya kutekeleza mipango hiyo, maeneo mengi yatahitaji fedha ili kufanikisha. Kimsingi, kodi ni…

Read More

Wauza jezi kicheko Simba Day

WAKATI zikisalia saa chache kuanza kwa kilele cha tamasha la Simba Day, asilimia kubwa ya mashabiki wamevalia jezi mpya ya timu hiyo, lakini wafanyabishara wa bidhaa hizo wakichekelea. Kilele cha wiki ya Simba Day ni siku ambayo hutambulisha wachezaji wapya, benchi la ufundi kitaambatana na burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali akiwemo Ali Kiba, Yammi, Mbosso…

Read More

Melo alaani ofisi za JamiiForums kuvamiwa, Msigwa amjibu

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Jamii Forums, Maxence Melo amesema kuna uvamizi usio rafiki umefanyika katika ofisi zao zilizopo Mikocheni jijini Dar es Salaam na amedai kuwa wavamizi walikuwa wakimtafuta yeye, huku Serikali ikisema haukuwa uvamizi bali ni utaratibu wa kawaida wa mawasiliano na anatakiwa kutoa ushirikiano na asizue taharuki katika jamii. Kupitia mtandao wake…

Read More