WAPIGAKURA WAPYA 224,355 KUANDIKISHWA KIGOMA

  Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Bw. Kailima, R. K akizungumza na waandishi wa habari mkoani Kigoma leo tarehe 29 Mei, 2024. Na Mwandushi wetu, KigomaWapiga kura wapya 224,355 wanatarajiwa kuandikishwa mkoani Kigoma wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura unaotarajiwa kufanyika mkoani humo kwa siku saba…

Read More

Simba mpya Mgaboni, Matampi | Mwanaspoti

KAZI imeanza Simba. Na inaanzia langoni. Simba imeanza mchakato wa kusuka upya kikosi chake na tayari mezani ina majina mawili ya makipa wa kigeni ambapo watachagua mmoja. Wamefikia uamuzi huo kwani wanaona kuna kila dalili ya kumpoteza kipa wao namba moja wa sasa, Mmorocco Ayoub Lakred licha ya kwamba inadaiwa mpenzi wake ameanza kupaelewa Bongo….

Read More

Chadema Nyasa ngoma bado mbichi

Njombe. Licha ya baridi kali inayopuliza katika mji wa Makambako Mkoani Njombe muda huu,  wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wameendelea kusubiri kujua ni nani ataibuka mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Uchaguzi huo unaofanyika leo Mei 29, 2024, ambapo muda huu wajumbe wenye sifa ya kupiga kura, ndiyo wanaingia…

Read More

Victor Roque: “Nichezesheni au mniache”

Wakala wa Vitor Roque anapunguza sauti akiwa na Barcelona lakini bado yuko mezani huku klabu tatu zikivutiwa Mchezaji nyota wa Barcelona, ​​Vitor Roque amekuwa kwenye vichwa vya habari kwa sababu zisizo sahihi zaidi ya zile sahihi wakati wa uchezaji wake mpya huko Catalonia, na bado inaweza kuwa kukaa kwa muda mfupi katika klabu hiyo. Baada…

Read More

Tuzo za TFF kutolewa mechi ya Ngao ya Jamii

TUZO za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kwa msimu huu zitafanyika wakati wa mchezo wa Ngao ya Jamii tofauti na mwanzoni zilipokuwa zinafanyika siku tatu kabla ya kumalizika kwa fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC). Katika taarifa iliyotolewa na TFF ilieleza kwamba, sababu kubwa za tuzo hizo kufanyika kipindi hicho ambacho…

Read More

Mechi ya marudiano ya Tyson Fury na Oleksandr Usyk yawekwa.

Mchezo wa marudiano kati ya Tyson Fury na Oleksandr Usyk umepangwa kufanyika Desemba 21, 2024, mjini Riyadh, Saudi Arabia. Mechi hii ya marudio inayotarajiwa sana ilithibitishwa na Turki Alalshikh, mwenyekiti wa Mamlaka Kuu ya Burudani ya Saudi Arabia. Usyk alikua bingwa asiyepingwa wa uzani wa juu alipomshinda Fury kupitia ushindi wa uamuzi uliogawanyika katika pambano…

Read More