Kilio mgawanyo fedha za mfuko wa jimbo

Dodoma. Mbunge wa Jang’ombe, Ali Hassan Omar maarufu King ameibua malalamiko kuhusu mgawo wa fedha za Mfuko wa Maendeleo ya Jimbo, akieleza hauna usawa. Ameibua malalamiko hayo jana, Ijumaa Aprili 25, 2025, alipochangia hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kwa mwaka wa fedha 2025/26. Waziri…

Read More

CAF yaandaa mdahalo wa kiufundi, Mirambo ndani 

SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetangaza litakuwa na mdahalo wa kiufundi juu ya mashindano ya Ubingwa wa Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) 2024 yanayoendelea Afrika Mashariki, kitakachofanyika jijini Nairobi, Kenya, kesho Jumatano. Kikao hicho kitahusisha  wanachama maalum wa Technical Study Group (TSG) wa CAF, ambao watajadili kwa kina mwenendo wa kiufundi wa…

Read More

Serikali yawaonyesha wafanyabiashara fursa za mikopo

Arusha. Serikali imewataka wafanyabiashara nchini kuchukua mikopo kutoka kwenye taasisi zinazotambuliwa kisheria, kuliko kuingia tamaa ya mikopo ya mitandaoni ambayo imekuwa ikiwaumiza. Pia, imewataka kuchukua fedha za kiwango cha hitaji lao la kibiashara badala ya kuchukua mikopo mikubwa inayowasumbua kwenye kuirejesha na kuharibu ustawi wa biashara zao. Rai hiyo imetolewa leo Agosti 23, 2024 na…

Read More

Washika usukani 18 mzigoni mbio za magari

VUMBI jekundu eneo la Pongwe, Kisimatui, Mkanyageni na Mlamleni mkoani Tanga litatimka Jumamosi wakati madereva 18 watakapokuwa kibaruani kuwania ubingwa wa mbio magari za ufunguzi wa msimu zinazoitwa Advent Rally of Tanga Hayo ni mashindano ya kwanza ya ubingwa wa taifa kwa mbio za magari ambayo yatashirikisha madereva kutoka ndani na nje ya nchi, kwa…

Read More