Dk Nchimbi atoa maagizo kupunguza tatizo la ajira Tanzania

Manyoni. Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amezitaka halmashauri zote nchini kuwatambua vijana wasomi kwenye maeneo yao na kuwashirikisha kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo. Mbali na kuwatambua, wawaunganishe kwenye vikundi kutokana na taaluma zao kisha  wawapatie mikopo wanayoitoa ya asilimia 10 kwa ajili  ya wanawake, wenye ulemavu na vijana ili wazitumie…

Read More

RAIS SAMIA KUFANYA ZIARA JAMHURI YA KOREA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara katika Jamhuri ya Korea kuanzia tarehe 30 Mei 2024 hadi 6 Juni 2024 kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Korea Mhe. Yoon Suk Yeol. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam leo tarehe 29 Mei 2024, Waziri wa…

Read More

KIJIWE CHA SALIM: Maajabu ya mchezo wa kupiganisha majogoo

KATIKA kila nchi wapigakura huwa na mambo yanayowafanya kuamua chama gani wakichague wakati wa uchaguzi, ambapo wapo ambao hukichagua kuongoza kwa kuamini kutakuwepo na amani na wengine umuzi wao huegemea ukabila, dini, uchumi, elimu, afya na mambo mengine. New Content Item (2) Lakini katika Bara la Asia na visiwa vya Caribbean, mtazamo wa chama cha…

Read More

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Tanzania imeshinda tuzo ya Jumuiya ya Habari Duniani ya Mwaka 2024 (WSIS 2024) nchini Uswisi, iliyokabidhiwa kwa Rais wa Internet Society Tanzania, Bw. Nazar Nicholas na Katibu Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Dunia (ITU) Doreen Bogdan-Martin huku Waziri mwenye dhamana ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauye (Mb.) akishuhudia. Tuzo hiyo…

Read More

Barcelona kumnyatia Guerra. – Millard Ayo

Mkurugenzi wa Michezo wa Barcelona Deco akutana na mawakala wa kiungo wa kati wa Euro milioni 20 Mkurugenzi wa Michezo wa Barcelona Deco amekuwa akiwasiliana na mawakala wa mchezaji wa Valencia Javi Guerra, kulingana na taarifa za hivi punde kutoka Catalonia. Guerra amekuwa akihusishwa na vilabu vya Arsenal, Newcastle United na Manchester United katika miezi…

Read More

Ziara ya Samia Korea kuipatia Tanzania Sh6.5 trilioni

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Serikali itaingia mkataba wa msaada na mkopo nafuu wa Dola za Marekani 2.5 bilioni sawa na Sh6.5 trilioni kutoka Serikali ya Korea Kusini. Waziri Makamba amesema fedha hizo zitaelekezwa katika uboreshaji wa sekta ya elimu, afya na miundombinu, akisema Korea…

Read More