Mbappe wa Azam apelekwa KMC

UONGOZI wa KMC uko katika mazungumzo ya kuipata saini ya winga wa Azam FC, Cheickna Diakite ‘Mbappe’ kwa mkopo wa miezi sita, baada ya nyota huyo kuomba kutolewa kwenda timu nyingine ili akapate nafasi zaidi ya kucheza katika kikosi cha kwanza. Taarifa kutoka ndani ya Azam zililiambia Mwanaspoti, Diakite aliyejiunga na timu hiyo mwanzoni mwa…

Read More

Uhasama wa Marekani, Iran katika mwanga mpya

Sasa dunia imeanza sura mpya kabisa katika uhusiano kati ya Marekani na Iran uhusiano ambao unaweza kuwa bora zaidi au mbaya zaidi kabisa. Kwa karibu miaka hamsini iliyopita, dunia imekuwa mashuhuda wa uhasama sugu vitisho, njama na maneno yenye sumu kati ya Marekani na Iran. Marekani imekuwa ikiitaja Iran kama ‘Shetani Mkuu’ au ‘Kitovu cha…

Read More

Mtoto aadabishwe au aadhibiwe? | Mwananchi

Dar es Salaam. Mtoto akikosea anatakiwa kuadhibiwa au kuadabishwa? Huu ni mjadala ulioshika kasi kwa sasa kukiwa na msukumo mkubwa wa kuondolewa adhabu ya viboko kwa kile kinachoelezwa haina matokeo chanya kwa anayeadhibiwa. Adhabu hiyo ambayo hutumika zaidi shuleni na wakati mwingine nyumbani inatajwa kuwa si tu huishia kumletea maumivu ya kimwili mtoto husika, bali…

Read More

TCB: Tuna imani na uzoefu mkubwa wa Lilian Mtali

MKURUGENZI Mtendaji wa Benki ya Tanzania (TCB), Adam Mihayo amesema ana imani na uzoefu mkubwa wa Lilian Mtali ambaye ameteuliwa na benki hiyo kuwa Mkurugenzi wa Biashara za wateja Wadogo na wa Kati. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumzia ujio wa Mtali katika Benki ya TCB, Mkurugenzi huyo amesema pia ana imani…

Read More

Mabalozi wasisitiza ushirikishwaji wananchi wa Tanzania

Dar es Salaam. Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania wamesisitiza umuhimu wa ushirikishwaji wa wananchi katika mchakato wa kidemokrasia ili kuimarisha umoja na amani katika taifa hilo. Mabalozi hao wamebainisha hayo leo Alhamisi Septemba 19, 2024 wakati wa mkutano wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Demokrasia inayoadhimishwa kila Septemba 15 na maadhimisho hayo yameambatana…

Read More

Siri ya ‘kutoboa’ kiuchumi 2025 hii hapa

Dar es Salaam. Kati ya mavuno na anguko,  ni neno lipi linaakisi matokeo ya malengo uliyojiwekea kuyatimiza kabla ya kukamilika mwaka 2024? Kwa matokeo hayo, unajitathmini na kujiona wapi katika mwaka 2025? Kama umevuna, hongera. Kwa walioanguka au kubaki kama walivyokuwa, ipo siri iliyojificha nyuma ya mafanikio ya kiuchumi na maendeleo kama inavyofafanuliwa na wanazuoni…

Read More