Wananchi wa Afrika Kusini wapiga kura katika uchaguzi mkuu

Wananchi wa Afrika Kusini leo Jumatano wamepiga kura katika uchaguzi mkuu ambao umetajwa kuwa ni muhimu sana kwa nchi hiyo katika kipindi chote cha miaka 30 iliyopita. Chama cha African National Congress kimekuwa madarakani huko Afrika Kusini kwa miongo mitatu sasa. Chama hicho kilifanikiwa kuuangusha utawala wa kikatili wa wazungu walio wachache mwaka wa 1994….

Read More

Macron na Scholz wazungumzia mzozo wa Ukraine – DW – 29.05.2024

Suala kubwa ambalo lilitawala mazungumzo kati ya Scholz na Macron ni vita vinavyoendekea nchini Ukraine. Scholz alisema wanataka kuendelea kuisadia Ukraine kisiasa, kifedha, kijeshi na kwa kuipa misaada ya kibinadamu. Alisema Uhispania tayari imeshaahidi kutoa msaada na kwamba yeye na Macron wamekubaliana ni lazima wachukue hatua inayofuata kuimarisha msaada huu katika ngazi nyingine mpya. Scholz alisema…

Read More

Bei vocha za simu za kukwangua zapanda

Dodoma. Bei ya vocha za simu za kukwangua zimepanda nchini kutoka Sh1,000 hadi Sh1,200 huku Serikali ikiagiza Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuhakikisha watoa huduma hawapandishi bei kiholela. Akiuliza swali la nyongeza bungeni leo Mei 29, 2024, Mbunge wa Viti Maalumu, Tunza Malapo amehoji ni nini kauli ya Serikali kuhusu kupanda kwa bei ya vocha…

Read More

Matampi atoa siri ya kumpiku Diarra

KIPA wa Coastal Union ya Tanga, Ley Matampi amefunguka siri ya mafanikio yake ya kuongoza kwa clean sheet, akimtaja kipa wa Yanga Djigui Diarra ambaye amempiku msimu huu. Akizungumza na Mwanaspoti, Mkongomani huyo amesema jambo pekee lililomfanya kuwa bora ni ushirikiano wa makocha na wachezaji wenzake. Matampi ambaye ameweka rekodi ya kucheza mechi 24 na…

Read More

Jaji Mkuu wa Tanzania ahudhuria maadhimisho ya miaka 100 ya kuanzishwa kwa Mahakama huru nchini Ireland

Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma jana tarehe 28 Mei, 2024 aliungana na Majaji Wakuu kutoka nchi mbalimbali Duniani katika maadhimisho ya miaka 100 ya kuanzishwa kwa Mahakama huru nchini Ireland. Maadhimisho hayo yalifanyika katika Jengo la Mahakama ya Upeo (Supreme Court) lililopo Mji Mkuu wa Dublin na yalihudhuriwa na Majaji Wakuu…

Read More

Vurugu zazuka uchaguzi Chadema Kanda ya Nyasa

Njombe. Ikiwa inaelekea uchaguzi wa kuwapata Mwenyekiti, Makamu na Mweka Hazina wa Chadema Kanda ya Nyasa, vurugu zimeibuka na kusababisha mvutano baina ya makada wa chama hicho. Hata hivyo, haikufahamika haraka chanzo cha vurugu hizo, ambapo wakati wajumbe wa mkutano mkuu wakiendelea kuingia ukumbini, ghafla baadhi ya waliokuwa wametangulia walirejea tena getini wakitishia kususia uchaguzi….

Read More

Fei ampigia saluti Aziz Ki

KIUNGO wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amempongeza Stephane Aziz Ki kwa kuibuka mfungaji bora akipachika mabao 21 huku akiweka wazi kuwa alistahili. Fei Toto ambaye amefunga mabao 19 akiachwa mabao mawili na kinara huyo ambaye walikuwa wanakimbizana kwenye ushindani, amesema licha ya kukosa kiatu cha dhahabu msimu huu anafurahi kuipambania timu yake kushiriki…

Read More

SAMIA KUPITIA NCHIMBI AKAMILISHA AHADI MANYONI

  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan leo kupitia Katibu Mkuu wa chama hicho Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi amekipatia chama wilaya ya Manyoni zaidi ya shilingi millioni 18 kwa ajili ya kuezeka jengo lake la kitega uchumi. Katibu Mkuu wa CCM alitangaza hayo mbele ya Kamati ya Siasa ya Wilaya,…

Read More

Inter Milan wako tayari kutoa ofa kwa Beki wa Man United..

Inter Milan iko tayari kupeleka ofa kwa Manchester United kwa ajili ya kumnunua beki wa kulia Aaron Wan-Bissaka. Kulingana na chombo cha habari cha Italia TuttoMercatoWeb, Inter iko tayari kulipa takriban euro milioni 12 kwa ajili ya beki huyo mwenye umri wa miaka 26. COPENHAGEN, DENMARK – NOVEMBER 8: Aaron Wan-Bissaka of Manchester United looks…

Read More