Tanzania yawahakikishia mabalozi uthabiti kisiasa

Dar es Salaam. Tanzania imewahakikishia mabalozi wa mataifa ya kigeni nchini kuhusu uthabiti wa hali ya kisiasa, ufanisi wa mfumo wake wa kodi na uwekezaji, ikisema Serikali inafanya juhudi kubwa kuboresha hali hiyo. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo, amesema hayo leo Novemba 13, 2024 katika kipindi ambacho…

Read More

Cheza Kasino na Ufurahie Sloti ya Giant Wild

Giant Wild Goose Pagoda ni mchezo wa sloti kwenye kasino ya mtandaoni yenye nguzo tano zilizopangwa katika mistari minne na ina njia 50 za kulipa. Ili kupata ushindi wowote, lazima upate angalau alama mbili au tatu zinazofanana kwenye mstari wa ushindi. Mfuatano wa ushindi unahesabiwa kutoka kushoto kwenda kulia kuanzia nguzo ya kwanza upande wa…

Read More

Kona ya Maloto: Ukimya kuhusu Kibao, Soka ni kielelezo cha Tanzania kutoishi agenda

Katika urushaji wa matangazo ya kidigitali, wajasiriamali wa Marekani, Adam Curry na John Dvorak, kuanzia Oktoba 16, 2007, walianzisha programu ya vichekesho vyenye kujadili hali halisi ya kisiasa, inayoitwa No Agenda. Curry na Dvorak kama lilivyo jina la programu, wao huwa hawana agenda ya kuzungumzia isipokuwa huendesha mijadala kutokana na upepo wa kisiasa unavyokuwa ndani…

Read More

Wanaodaiwa kumuua Shyrose wauawa kwa risasi, baba atoa kauli

Mbeya.  Zikiwa zimepita siku 13 tangu kuuawa kwa aliyekuwa mwanafunzi wa mwaka wa pili wa Chuo Kikuu Mzumbe ndaki ya Mbeya, Shyrose Mabula (21), Jeshi la Polisi limewatia mbaroni watuhumiwa watatu wanaodaiwa kuhusika na tukio hilo, ambao baadaye walifariki dunia wakati wakipelekwa hospitali. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin…

Read More

Marekani na Washirika wa Magharibi Watoa Dola Bilioni 260 kama Msaada wa Kijeshi kwa Ukraine – Masuala ya Ulimwenguni

Credit: Idara ya Ulinzi ya Marekani (DoD) na Thalif Deen (umoja wa mataifa) Jumatatu, Desemba 23, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Des 23 (IPS) – Maŕekani na washirika wa Maghaŕibi kwa pamoja wametoa msaada wa kushangaza wa dola bilioni 260, hasa silaha na msaada wa kijeshi, kwa Ukraine wakati mzozo wa muda mŕefu…

Read More

Mpanzu atuma ujumbe kwa mashabiki Simba

MECHI saba tu zimetosha kwa kiungo wa Simba Ellie Mpanzu kuweka wazi kuhusu kile kilichompeleka katika kikosi hicho, huku akiweka wazi kuwa hana presha kabisa ya kufunga. Mpanzu ambaye alianza kucheza baada ya dirisha dogo, amecheza mechi nne za ligi na kutoa asisti mbili(dakika 220) tatu za kimataifa sawa na dakika 258. Tangu atue kwenye…

Read More