Moto wa kuipa Azam ubingwa 2024/25

Msimu wa Ligi Kuu Bara 2023/24, umekamilika hapo kesho jana kwa timu zote 16 kushuka kwenye madimba nane tofauti katika muda mmoja wa saa kumi alasiri. Tayari bingwa Yanga alishapatikana mapema, na jana ligi ikamalizia kwa msisimko mkubwa sana kwa mbio za kuwania nafasi ya pili iliyotwaliwa na Azam FC na kuiacha Simba ikishika nafasi…

Read More

Arsenal kumsaka Alexander Isak. – Millard Ayo

Arsenal wanaripotiwa kupanga mazungumzo juu ya uwezekano wa kumnunua mshambuliaji wa Uswidi Alexander Isak. The Gunners wanadaiwa kutaka kupata huduma za fowadi huyo mwenye kipaji, ambaye kwa sasa anachezea Real Sociedad katika La Liga. Ripoti za hivi punde zinaonyesha kuwa mkutano na Isak “umethibitisha” uamuzi wa Arsenal kufuata uhamisho huo. Alexander Isak: Wasifu wa Mchezaji…

Read More

SEKTA YA UJENZI YACHANGIA ASILIMIA 14 PATO LA TAIFA

Sekta ya Ujenzi imekuwa ikikua kwa wastani wa asilimia 12 kwa mwaka kwa kipindi cha miaka 10 iliyopita. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka 2024/25, Bungeni Jijini Dodoma Amesema wastani wa mchango wa Sekta katika Pato la Taifa katika kipindi cha miaka 10…

Read More

Mgunda awahi kumalizana na Indonesia

Mgunda awahi kumalizana na Indonesia KAIMU Kocha Mkuu wa Simba na timu ya taifa ‘Taifa Stars’, Juma Mgunda anatarajia kuuwahi mchezo wao wa kwanza wa kirafiki dhidi ya timu ya taifa ya Indonesia unaotarajiwa kuchezwa Juni mbili mwaka huu. Mgunda ameondoka nchini leo akiongozana na wachezaji watatu kwenda kuungana na timu ya Taifa ambayo ipo…

Read More

Waafrika Kusini wapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria leo

Waafrika Kusini leo Jumatano wanapiga kura katika uchaguzi wa kihistoria ambao kwa mara ya kwanza umeruhusu wagombea huru tangu mfumo wa ubaguzi wa rangi kumalizika nchini humo mwaka 1994. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea). Zaidi ya watu milioni 27 wamejiandikisha kupiga kura katika kura inayoangazia kuongezeka kwa mgawanyiko wa kisiasa baada ya miaka 30 ya…

Read More