TANZANIA ,AFRIKA KUSINI KUIMARISHA UHUSIANO KATIKA NYANJA ZA SAYANSI,TEKNOLOJIA NA UBUNIFU

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekutana na Waziri wa Elimu ya Juu Sayansi, Teknolojia na Ubunifu wa Afrika Kusini Mhe. Dkt. Blade Nzimande ambapo wamejadili namna ya kuimarisha uhusiano katika nyanja za Sayansi, Teknolojia na Ubunifu. Waziri Mkenda amemueleza kuwa Tanzania inajivunia uhusiano mzuri na wa kihistoria na Afrika Kusini katika…

Read More

Mwenge kukagua miradi 41 ya Sh25.9 bilioni Simiyu

Maswa. Mwenge wa uhuru wa mwaka 2025 utakagua, kuzindua, kutembelea na kufungua miradi 41 ya maendeleo yenye thamani ya Sh25.9 bilioni katika Mkoa wa Simiyu. Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Anamring Macha amesema hayo leo jumamosi Agosti 9, 2025 katika kijiji cha Njiapanda wilaya ya Maswa mkoani humo wakati akikabidhiwa mwenge wa uhuru na Mkuu…

Read More

Wasauzi wamwashia taa ya kijani Maema Simba 

MAMELODI Sundowns ya Afrika Kusini, imetangaza rasmi, kuondoka kwa kiungo  mshambuliaji wa kikosi hicho, Neo Maema. Matajiri hao wa Sauzi, wamemuaga kiungo huyo leo Ijumaa, baada ya kuitumikia klabu hiyo miaka minne kwa mafanikio. Hatua ya Maema kupewa ‘Thank you’ ni kama inawashwa taa ya kijani kwa kiungo huyo kutua Simba. Maema ndani ya Mamelodi…

Read More

KITI CHA URAIS ZANZIBAR: Ahadi za watiania na kipimo cha vilio, kero kwa wananchi

 Dar es Salaam. Safari ya kuomba ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika uchaguzi visiwani Zanzibar haikuwahi kuisha ahadi, zikiwamo zenye vituko na mbwembwe ndani yake. Ukiacha ile ya kuwanunulia wanahabari pikipiki za magurudumu matatu ‘bajaji’ kutoka India iliyotolewa katika uchaguzi wa mwaka 2020, sasa imeibuka nyingine ya ruhusa ya kilimo cha bangi ili kuukwamua uchumi wa…

Read More

CHAMA CHA NLD CHAZINDUA ILANI YAKE YA UCHAGUZI 2025

…………… CHAMA cha National League for Democracy (NLD) kimezindua rasmi Ilani yake ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ikiwa ni hatua muhimu kuelekea katika mchakato wa uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyowasilishwa Leo Agosti 6 na uongozi wa chama hicho, Ilani hiyo inatajwa kama dira na…

Read More

YANGA WATIA TIMU BUKOBA KUZISAKA ALAMA TATU.

Na Dulla Uwezo Kikosi cha Timu ya Yanga Africans Kimewasili salama Bukoba Mjini Tayari kuzitafuta alama Tatu Muhimu, katika Mchezo wao utakaopigwa Tarehe 29 Agosti katika Dimba la Kaitaba dhidi ya Wenyeji wao Kagera Sugar Wanankurukumbi. Kikosi Kimewasili majira ya Saa Sita Mchana na Ndege, Kisha Kuelekea mapumZiko mafupi Hotelini kabla ya Kufanya Mazoezi jioni…

Read More

kim Jong Un atangaza kuongeza Silaha za Nyuklia

Katika hatua inayosababisha wasiwasi mkubwa kwa jamii ya kimataifa, Kim Jong Un, kiongozi wa Korea Kaskazini, ametangaza nia yake ya kuongeza silaha za nyuklia baada ya kufanya ziara katika kituo cha siri cha uchakataji uranium ambapo hatua hiyo inaashiria kuongezeka kwa tishio la kimataifa kutoka kwa Korea Kaskazini, ambayo inaonekana kujiandaa kwa nguvu zaidi ya…

Read More