PROFESA PALLANGYO ATEMBELEA MABANDA MBALIMBALI , MAADHIMISHO YA KITAIFA YA ELIMU

Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa William Pallangyo  akipata maelezo kwa Afisa Uhusiano wa Chuo cha Usimamizi wa  Fedha (IFM)wakati alipotembelea Banda la IFM kwenye Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ,Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja Vya Shule ya Popatlal Mjini Tanga.Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Profesa…

Read More

Mwalimu Agundua Ubunifu wa Kifaa cha Kuongeza Usikivu

*Ugunduzi umetokana na yeye mwenyewe kuwa na changamoto ya usikivu hafifu Na Chalila Kibuda ,Michuzi TV TangaMWALIMU wa VETA Kigoma Innocent Maziku agundua kifaa cha kuongeza usikivu kutokana na yeye mwenyewe kuwa na usikivu hafifu. Maziku amebainisha hayo katika Banda la VETA katika Maadhimisho ya Kitaifa ya Elimu ya Ubunifu na Ujuzi yanayoendelea katika Viwanja…

Read More

Zaidi ya shilingi milioni 200 kukusanywa,kufanikisha ujenzi wa ukuta wa shule ya sekondari ya wasichana Songea

Zaidi ya shilingi milioni 200 zinatarajiwa kukusanywa na kufanikisha ujenzi wa ukuta wa shule ya sekondari ya wasichana ya Songea kufuatia michango ya wanafunzi waliowahi kusoma miaka ya nyuma . Ujenzi huo ambao ni msaada wa wanafunzi ambao walisoma katika shule ya sekondari ya wasichana ya Songea miaka ya nyuma unatizama kama mchango wa kukuza…

Read More

Kwa nini waishiwa wasiwe madoktari au wabukuzi

Kaya yetu si ya watata wala haihitaji utata, kuringa, na kuringishiana ujuha. Ni kaya ya mafyatu. Hii inatosha. Siku hizi, kila fyatu anataka aitwe ama doktari au profedheha hata kama hajui kusoma na kuandika ilimradi tu ujiko na kujimwambafy. Hawajui wanavyotusononesha sie tusiobahatika kuwa madoktari wala maprofedheha ingawa ukiwauliza wamefanya nini cha mno, wote ngoma…

Read More

ISOC-Tz yaibuka kidedea tuzo za WSIS 2024 PRIZES

Waziri wa Habari Mawasiliano na Teknolojia ya habari, Nape Nnauye na Rais wa Taasisi ya Internet Society Tanzania Chapter(ISOC-TZ) Nazar Kilama wakipokea tuzo y a Access to Information and Knowledge ambapo ISOC -Tanzania  imekuwa ya kwanza kati ya project 1049 kwenye kundi  la tatu. Picha pamoja Waziri wa Habari,. Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape…

Read More

Maendeleo ya kinyumenyume yanatukwaza | Mwananchi

Sanaa na michezo ni sehemu ya utamaduni wa Taifa lolote. Ni kielelezo cha utamaduni, lakini pia hudumisha mahusiano na urafiki baina ya mataifa. Ni kivutio kikubwa cha utalii kwa wageni wanaoingia kwenye Taifa hilo. Kupitia sanaa na michezo wageni huburudika na kujifunza utamaduni wa jamii husika. Katika wakati uliopita, wasanii na wanamichezo duniani kote walikuwa…

Read More