Chama na mambo mawili tu Yanga

KIUNGO mshambuliaji Clatous Chama anayemaliza mkataba na Yanga, ana mambo mawili tu ili kuendelea kuonyesha ukubwa alionao katika soka la Tanzania. Nyota huyo wa kimataifa kutoka Zambia, inaelezwa kwa sasa anakuna kichwa  juu ya mustakabali wake kwa msimu ujao. Inaelezwa kuwa fundi huyo wa boli ana mambo mawili ya  kufanya kwa sasa kuamua aongeze mkataba…

Read More

Serikali yabanwa utekelezaji mkakati wa kupunguza matumizi

Dodoma. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imeitaka Serikali kutekeleza mkakati wa kupunguza matumizi yasiyo ya lazima baada uchambuzi wake kubaini hautekelezwi ipasavyo. Mwenyekiti wa kamati hiyo, Oran Njeza amesema hayo leo Jumanne Juni 18, 2024 alipotoa maoni ya kamati kuhusu tathimini ya hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2023, Mpango wa Maendeleo…

Read More

Blinken airai Hamas kuridhia ombi la Israel kuwaachia mateka – DW – 29.04.2024

29.04.202429 Aprili 2024 Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony Blinken amewatolea mwito wanamgambo wa kundi la Hamas kukubali pendekezo la Israel la kuwaachilia huru mateka wanaowashikilia Gaza,ili kufungua njia ya usitishaji mapigano. https://p.dw.com/p/4fJVc Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Antony BlinkenPicha: Ichiro Ohara/Yomiuri Shimbun/AP Photo/picture alliance Wajumbe wa Hamas wanatarajiwa kukutana na…

Read More