KAMPUNI YA USAFIRISHAJI SIMBA YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KUTOA MAHITAJI KITUO CHA WATOTO YATIMA

KATIKA Kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja Kampuni ya Wakala wa Forodha (SIMBA) Wameikumbusha Jamii Kuhakikisha wanatoa faraja kwa watu wenye uhitaji hasa vituo vya watoto Yatima. Akizungumza Afisa Mtendaji Mkuu wa Uendeshaji Gladness Mosha katika Kituo cha Watoto Yatima Cha Orphanage kilichopo Zinga Bagamoyo amesema Kwa Kutambua mchango mkubwa unaofanywa na wateja wao kwa…

Read More

Walivyopatikana watoto waliotekwa Mwanza | Mwananchi

Mwanza. Wamepatikana. Ndilo neno lenye uzito wa kuelezea taarifa ya Polisi Mkoa wa Mwanza kuhusu kupatikana watoto wawili waliotekwa wakiwa kwenye basi la shule jijini hapa. Magreth Juma (8) anayesoma darasa la tatu na Fortunata Mwakalebela (5) wa darasa la pili katika Shule ya Blessing Modern iliyopo Nyasaka wilayani Ilemela walitekwa Februari 5, 2025, saa…

Read More

Rwanda yaichongea DRC UN | Mwananchi

Geneva. Mgogoro unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), umechukua sura mpya baada ya Rwanda kuishtakia Serikali ya Rais Felix Tshisekedi kuwa inatekeleza mauaji dhidi ya raia. Katika hotuba yake jana mbele ya Baraza la 58 la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UN) Geneva Uswisi, Waziri wa Waziri wa…

Read More

Bosi Jatu aomba mahakama itoe uamuzi upelelezi kutokamilika

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Jatu PLC, Peter Gasaya (33), anayekabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka mawili, likiwemo la kujipatia Sh5.1 bilioni kwa udanganyifu, ameiomba mahakama ifanya uamuzi katika kesi yake kutokana na upelelezi wa shauri hilo kutokamilika. Gasaya anadaiwa kujipatia fedha hizo kutoka Saccos ya Jatu kwa madai atazipanda…

Read More

Dk Nchimbi aeleza sababu Samia kuwa chaguo sahihi

Itilima. Mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema kazi kubwa aliyoifanya Mwenyekiti wa chama hicho na Rais Samia Suluhu Hassan inawapa ahueni ya kuomba kura. Aidha Dk Nchimbi amesema Rais Samia ameboresha mahusiano ya kidiplomasia na mataifa mbalimbali hali inayochagiza kuvutia zaidi uwelezaji. Ameikamilisha miradi ya kimkakati iliyoachwa na…

Read More

Marekani yajitenga na safari ya anasa ya Rais Ruto

Nairobi. Serikali ya Marekani imefafanua kuwa haijaidhinisha malipo ya ndege binafsi ya Rais wa Kenya, William Ruto kwenda Marekani. Rais Ruto ameanza ziara ya kiserikali ya siku nne nchini Marekani. Aliondoka nchini Kenya Jumapili, Mei 19, 2024. Katika mujibu wa taarifa ya leo Jumanne, Mei 21, 2024, Msemaji wa Ubalozi wa Marekani jijini Nairobi, Andrew…

Read More