
MKOA WA TABORA TUMEPIGA VITA MAFUNDI UMEME VISHOKA”-RAS TABORA
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt John Mboya, akizungumza wakati akifungua semina ya siku moja kwa mafundi umeme wa mkoa huo, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora,Paul Matiko Chacha, leo Septemba 17,2024. Meneja wa EWURA Kanda ya Magharibi, Mha. Walter Christopher akizungumza na wadau wa sekta ndogo ya umeme wakiwamo mafundi,…