
TCCIA kuwakutanisha washiriki 600 maonesho ya biashara Mwanza
Mwanza. Zaidi ya washiriki 500 na wengine 100 kutoka nchi za nje wanatarajiwa kushiriki maonesho ya 20 ya Biashara kwa lengo la kufungua fursa kwa wafanyabiashara wa kada zote Afrika mashariki, yatakayofanyika katika viwanja vya Nyamagana mkoani Mwanza. Maonesho hayo yataratibiwa na Taasisi ya Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) Mkoa wa Mwanza…