Majaliwa ataka mikakati iendane na mabadiliko teknolojia

Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amevisihi vyama vya wafanyakazi barani Afrika, kuweka mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya teknolojia duniani. Amesema kwa kufanya hivyo kutawawezesha kupunguza hatari ya kupoteza ajira kutokana na ujio wa mashine na matumizi ya teknolojia mpya ikiwemo za akili unde. Majaliwa ameyasema hayo jijini Dar es Salaam leo Ijumaa,…

Read More

MHE. RAIS AIPANDISHA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUWA MJI

Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kupandisha hadhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuwa Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo. Aidha, ameitaka Wizara yake kukamilisha taratibu zote za kisheria ikiwa ni pamoja na kuitangaza katika gazeti za Serikali kukamilika mara moja.Mhe. Mchengerwa ametoa…

Read More

Kenya yatupwa nje CHAN 2024

TIMU ya Taifa la Madagsacar imeweka rekodi kwa kuwa ya kwanza kutinga nusu fainali ya michuano ya CHAN 2024 baada ya kuifunga Kenya ‘Harambee Stars’ kwa mikwaju ya penalti 4-3 baada ya kutoka sare ya bao 1-1 ndani ya dakika 120 kwenye Uwanja wa Kimataifa wa michezo wa Moi, Nairobi. Kenya ilianza mechi hiyo kwa…

Read More

Mboni Masimba amrudisha jukwaani Bi Mwanahawa Ally 

Mkurugenzi wa Kampuni ya Chocolate Princess,Mboni Masimba, amemrudisha jukwaani mkongwe wa Taarabu nchini, Mwanahawa Ally aliyetangaza kustaafu kuimba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Mboni amesema,  anatarajia kufanya tamasha la mkesha wa muziki wa taarabu litakalohusisha wakali wasanii wa muziki huo nchini akiwemo Mwanahawa Ally, Agosti 28 kwenye Viwanja vya…

Read More

BALOZI DKT NCHIMBI AZUNGUMZA NA MAKATIBU UWT

::::::: Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, akizungumza na Wenyeviti na Makatibu wa Mikoa na Wilaya wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa CCM Tanzania (UWT) wanaoudhuria mafunzo ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu, yaliyofanyika leo Ijumaa tarehe 22 Oktoba 2025, katika Ukumbi…

Read More