Mahakama Kuu yakubali pingamizi la Lissu

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, imekubaliana na pingamizi la Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu na kukataa kupokea flash disk na memory Card kwa maelezo kuwa shahidi wa tatu wa upande wa mashtaka, Mkaguzi wa Polisi, Samwel Kaaya(39) sio mtaalamu wa picha za mjongeo (video) na…

Read More

Ramovic amtaja anayeipa jeuri Yanga

Ushindi wa mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Bara kwa Yanga tangu ianze kufundishwa na Kocha Sead Ramovic, umewafanya mashabiki wa timu hiyo kupata jeuri ya kurudi  kwenye mbio za ubingwa. Wakati mashabiki wakipata jeuri hiyo huku wakiishuhudia timu yao ikicheza soka safi la kushambulia bila kuchoka mwanzo mwisho, Kocha Ramovic amemtaja mtu muhimu anayefanya…

Read More

Kiungo Yanga aanika kuhusu namba 17

KIUNGO wa Yanga Princess, Agnes Pallangyo amesema lengo la kutumia jezi namba 17 ni kwa sababu ya kumkubali nyota wa kimataifa, Cristiano Ronaldo. Nyota huyo alisajiliwa msimu huu akitokea Fountain Gate Princess ya Dodoma ambayo ilimaliza nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi ya Wanawake (WPL). Akizungumza na Mwanaspoti, Pallangyo alisema kwenye maisha yake hatokuja…

Read More

Dira ya maendeleo ya 2025 imefikiwa kwa asilimia 65

Seoul. Wakati serikali ikiendelea na mchakato wa kuandaa dira mpya ya maendeleo ya mwaka 2050, Rais Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2025 umefikia asilimia 65. Amesema utekelezaji wa dira hiyo ungeweza kufikia asilimia 80 lakini haikuwezekana kwa sababu hawakuweza kuipima sekta isiyo rasmi licha ya kuwa na…

Read More

Mgunda atoa neno Namungo | Mwanaspoti

BAADA ya ushindi wa mabao 2-0, Kocha mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema kikosi hicho kimerudi kwenye ushindani katika Ligi Kuu Bara, huku akiwapongeza wachezaji kwa kuamua kutimiza vyema wajibu. Ushindi ilioupata Namungo umeifanya kufikisha pointi tisa kwenye mechi saba ilizocheza ikishinda mbili, sare tatu na kupoteza michezo miwili. Akizungumza na Mwanaspoti, Mgunda alisema mchezo…

Read More