
ATE, TUCTA, VETA Kuimarisha ujuzi Wahitimu wa Mafunzo ya Ufundi
Mtendaji Mkuu wa Chama cha waajiri Tanzania (ATE) Suzanne Ndomba Doran na Katibu Mkuu wa Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Herny Nkunda wakisaini mikataba na mikataba waliyosaini kwaajili ya kuimarisha Mafunzo ya Ufundi. Mtendaji Mkuu wa Chama cha waajiri Tanzania (ATE) Suzanne Ndomba Doran akizungumza wakati wa utiaji wa saini ya kutekeleza makubaliano ya Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Shirikisho la wenye viwanda (CTI), Vyuo vya…