Watu Wenye Ulemavu wa Macho Wafikiwa na Meridianbet

LEO hii tarehe 29 ya mwezi wa 8 Kampuni kubwa ya ubashiri Meridianbet, katika mwendelezo wake wa kurejesha kwenye jamii iliamua kuwatembelea watu wenye ulemavu wa macho na kuwapatia msaada wa White Cane ( Fimbo za kutembelea) ambazo hizi zitawasaidia kwenye maisha yao ya kila siku. Ikiwa ni jitihada za Kampuni hii kuijali jamii yake…

Read More

WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI WA JIMBO LA SAME MASHARIKI WAWASILI DODOMA KWA MWALIKO WA MBUNGE

NA WILLIUM PAUL, DODOMA. WALIMU Wakuu wa shule za sekondari na Wasaidizi wao(Makamu) kutoka katika jimbo la Same mashariki wilayani Same mkoani Kilimanjaro wamewasili jijini Dodoma kwa mwaliko kutoka kwa Mbunge wa Jimbo hilo, Anne Kilango Malecela wa kuhudhuria kikao cha Bunge hapo kesho kujifunza jinsi shughuli zake zinavyoendeshwa. Walimu hao ambao walipokelewa na mwenyeji…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Ahmed Ally atamponza Steven Mukwala

USAJILI wa mshambuliaji aliyefanya vizuri sana kule Ghana katika Ligi Kuu ya nchi hiyo, Steven Mukwala ulishereheshwa vilivyo na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba, Ahmed Ally. Mshambuliaji huyo hakuwa mwingine bali ni raia wa Uganda,  Mukwala na msimu uliopita alifunga mabao 14 katika mechi 28 za Asante Kotoko katika Ligi Kuu ya Ghana, huku…

Read More

Uchaguzi mabaraza: Ni vita ya Mbowe, Lissu

Dar es Salaam. Baada ya minyukano ya nguvu za hoja kwa takriban wiki mbili,  uchaguzi wa viongozi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ngazi ya mabaraza, umeiva. Mabaraza hayo ni vijana (Bavicha) na wazee (Bazecha), ambayo yote uchaguzi wake unafanyika kesho Jumatatu, Januari 13, 2024. Mkutano wa Bavicha utafanyikia ukumbi wa Ubungo Plaza…

Read More