Serikali yaunda tume kuchunguza maghorofa Kariakoo

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Serikali imeunda tume ya watu 19 kufanya uchunguzi wa maghorofa yote yaliyoko katika Soko la Kariakoo. Kuundwa kwa tume hiyo kunafuatia maelekezo yaliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa tatu katika Soko la Kariakoo Novemba 16,2024. Juzi wakati akihutubia wananchi Rais Samia alimwekeleza Waziri…

Read More

Sintofahamu uchaguzi CUF, Lipumba apata wapinzani

Miaka 32 sasa imepita tangu Chama cha Wananchi (CUF) kilipopata usajili wa kudumu kama chama cha siasa, huku kikipitia milima na mabonde hadi kufikia sasa, kikiwa ni moja kati ya vyama vitano vikubwa nchini. Chama hiki kimepitia hatua mbalimbali za ukuaji wake, kiliwahi kuwa chama kikuu cha upinzani nchini na chama kilichoshiriki kuunda Serikali ya…

Read More

Kuanzia Januari 2025, vivuko vitakuwa vinasubiria abiria, Sea Tax kuongezwa Dar: Bashungwa

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali kupitia Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) kwa kushirikiana Kampuni ya Azam Marine zinaendelea kuboresha utoaji wa huduma za usafiri wa vivuko katika eneo la Magogoni – Kigamboni jijini Dar es Salaam ambapo kufikia mwezi Januari 2025 vitaongezwa vivuko vidogo (sea tax) kufikia sita (6) ambapo ushirikiano…

Read More

Yanga yampigia  hesabu Mtunisia | Mwanaspoti

YANGA leo jioni imetangaz akumuongezea mkataba wa miaka miwili, kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Pacome Zouzoua, ikiwa ni sehemu ya kuboresha kikosi cha msimu ujao, lakini ikielezwa kwamba sio kwa wachezaji tu, bali hata katika benchi la ufundi nako kuna watu wanashushwa. Ndio, Yanga iliyomtambulisha kocha mpya, Romain Folz jana jioni, baada ya awali kumtambulisha…

Read More

Kagera SUGAR kushusha mashine mpya 12

KIKOSI cha Kagera Sugar kitaanza maandalizi ya kujifua na msimu mpya Jumatatu Julai 8, mwaka huu mjini Bukoba huku kikitarajiwa kushusha mashine mpya 12 na kuweka kambi yake mkoani Shinyanga kusaka utulivu. Mastaa wa timu hiyo walipaswa kuwasili mjini Bukoba kuanzia juzi (Jumatano) na kambi kuanza Alhamisi lakini kutokana na changamoto mbalimbali maandalizi hayo yamesogezwa…

Read More

Ujenzi wa minara 758 wafikia asilimia 90

Dar es Salaam. Mradi wa ujenzi wa minara 758 ulioanza mwaka 2023 umefikia asilimia 90.3 huku ukitajwa kuwa chachu ya ongezeko la watu wanaotumia huduma za mawasiliano Tanzania. Hadi Mei 23 mwaka huu, minara 682 ilikuwa tayari imekamilika huku mingine ikiwa katika hatua mbalimbali za kumaliziwa ujenzi. Hayo yamesemwa na Mtendaji Mkuu Mfuko Wa Mawasiliano…

Read More

Askofu Sangu: Tudumishe upendo katika familia zetu

Shinyanga. Askofu wa Jimbo Katoliki la Shinyanga, Liberatus Sangu ametoa wito kwa waumini kudumisha upendo ndani ya familia zao, akisisitiza kila mtu hutoka katika familia na malezi ya mtoto hutegemea watu wanaomzunguka. Kauli hiyo ameitoa leo Alhamisi Aprili 17, 2025, wakati wa Misa Takatifu ya Alhamisi Kuu iliyofanyika katika Parokia ya Buhangija, mkoani Shinyanga. Katika…

Read More