SPIKA TULIA AIPA KONGOLE TEMESA

  Na. Alfred Mgweno (Dodoma) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson ametoa pongezi kwa Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) kwa kuendelea kufanya maboresho katika utoaji wa huduma zake upande wa karakana ambapo moja ya maboresho makubwa aliyoyashuhudia ni uanzishwaji wa karakana inayotembea ambayo inatoa huduma mahala…

Read More

Ubungo na matumaini kibao Umitashumta

LICHA ya Wilaya ya Ubungo kuanza vibaya baadhi ya michezo ikiwemo mpira wa mikono (handball) kwenye mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Msingi Tanzania (Umitashumta), makocha wa timu hizo wamepanga kupindua meza katika michezo inayofuata. Ubungo  waliopewa vifaa vya michezo na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) kwa kushirikiana na La…

Read More

Wakazi 12 wa Ifakara-Morogoro wafikishwa mahakamani kwa kuongoza genge la uhalifu kujipatia pesa

Wakazi 12 wa Ifakara mkoa wa Morogoro wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akiwemo Barnaba Gidajuri (45) wakikabiliwa na mashtaka ya kuongoza genge la uhalifu na kujipatia pesa shilingi millioni 10 kwa njia ya udanganyifu. Washtakiwa hao wamesomewa mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama hiyo Ushindi Swalo ambapo Wakili wa Serikali…

Read More

DC aagiza wanakijiji kuunda Sungusungu kudhibiti mauaji

MKUU wa wilaya ya Songwe mkoni hapa, Solomon Itunda ameagiza baadhi ya vijiji wilayani humo kuunda vikundi vya ulinzi shirikishi (Sungusungu) ili kupunguza vitendo vya uhalifu vinavyosababisha mauaji hususani katika hasa kata ya Ngwala. Anaripoti Ibrahim Yassin, Songwe… (endelea). Itunda ameyasema hayo leo tarehe 28 Mei 2024 katika mkutano wa hadhara uliofanyika kijiji cha Ngwala…

Read More

SHIRIKA LA TEENAGERS TALK ORGANISATION WAJA NA MBINU YA KUWASAIDIA VIJANA KUONDOKANA NA CHANGAMOTO YA MAADILI.

Na. Vero Ignatus Arusha Shirika la Teenagers Talk Organization linalo jihusisha katika kusaidia watoto na vijana katika jamii kwa kutoa elimu ya kujitambua, huduma za afya za mabadiliko ya tabia na msaada wa kijamii huku Dhamira ya shirika hilo ikiwa ni kulinda jamii ambapo vijana wanaweza kufanikiwa, wakiwa na maarifa na rasilimali za kuendesha ukuaji…

Read More

Diaspora watuma trilioni 2, sasa kupewa hadhi maalumu

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema Diaspora wana umuhimu mkubwa kutokana na mchango wao katika maendeleo ya Taifa kwani mwaka 2023, walituma fedha nyumbani kiasi cha Dola za Marekani 751.6 milioni (Sh 1.9 trilioni). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Akiwasilisha hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi  ya…

Read More

Atupwa jela miaka 30 kwa kuwabaka watoto watatu

Morogoro. Mahakama ya Wilaya ya Kilombero, mkoani Morogoro imemhukumu kifungo cha miaka 90 ,  mkulima Leonce Athanas Matea maarufu kwa jina la Alaji (55), mkazi wa Chicago A’ Kata ya Kidatu wilayani humo,  baada ya kumtia hatiani kwa makosa matatu ya ubakaji wa watoto watatu. Hata hivyo, mkulima huyo atatumikia kifungo hicho  kwa miaka 30,…

Read More