Simba yamnyatia beki wa Yanga

SIMBA imeingia anga za Azam FC, kuwania saini ya beki wa Yanga, Kibwana Shomari anayemaliza mkataba wake mwishoni mwa msimu huu na bado klabu yake haijafikia mwafaka naye. Azam FC ndio ilikuwa ya kwanza kumpelekea ofa mchezaji huyo, lakini baada ya Mwanaspoti kuchapisha taarifa hizo, Simba ikaamua kutupa ndoano na siyo mara ya kwanza kumhitaji…

Read More

Kisa Yanga… Kinzumbi aliamsha na Katumbi

WAKATI msafara wa maofisa wa Yanga ukijipanga kurudi tena kwa klabu ya TP Mazembe kuendeleza ushirikiano wao, ndani ya klabu hiyo bingwa  wa DR Congo winga wao ameliamsha rasmi. Yule winga Philippe Kinzumbi ameliamsha rasmi akiwaambia mabosi wa klabu yake kiu yake kubwa ni kutaka kuja kucheza Tanzania bila kutajwa timu, lakini Mwanaspoti linajua akili…

Read More

Serikali kuwapa hadhi maalumu Diaspora

Dodoma. Serikali imesema ipo katika hatua za kukamilisha kutoa hadhi maalumu kwa raia wa nchi nyingine wenye asili ya Tanzania,   ambapo muswada wa marekebisho ya sheria utawasilisha katika Bunge hili. Hayo yamesemwa leo Jumanne Mei 28, 2024 na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba wakati akiwasilisha bungeni makadirio ya…

Read More

WAWILI MBARONI KWA TUHUMA ZA MAUAJI NGURUDOTO.

Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha linawashikilia watuhumiwa wawili Kwa tuhuma za mauaji ya Ndembora Exaud Nanyaro aliyefariki dunia wakati akipatiwa matibabu baada ya kujeruhumiwa na watuhumiwa hao mei 20, 2024 huko katika Kijiji cha Ngurudoto Kata ya Maji ya chai wilaya ya Arumeru Mkoa wa Arusha mei 25,2024. Akitoa taarifa hiyo Kamanda wa Polisi…

Read More

Mwanafunzi anayedaiwa kulawitiwa na mwalimu mkuu kuhamishwa shule

Musoma. Hatimaye mwanafunzi anayedaiwa kubakwa, kulawitiwa na kisha kunyweshwa sumu na mwalimu mkuu wa Shule ya Msingi Masaunga wilayani Bunda,  anatarajiwa kuhamishiwa katika shule nyingine ili kuendelea na masomo. Mwanafunzi huyo wa darasa la sita amepata fursa hiyo kufuatia habari iliyoandikwa na mitandao ya Mwananchi, akiiomba Serikali pamoja na wadau kumuwezesha kuhamishwa shule,  kutokana na…

Read More