VIDEO: Mahakama ilivyosikiliza maelezo anayedaiwa kumua mumewe

Moshi. Upande wa mashitaka, katika kesi ya mauaji yanayomkabili mkazi wa Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Beatrice Elias Kway (36) anayedaiwa kumuua mumewe nyumbani kwa mzazi mwenzake, Ephagro Michael Msele (43) umeeleza hatua kwa hatua mauaji hayo yalivyotokea. Mfanyabiashara huyo maarufu mjini hapa, anadaiwa kuuawa usiku wa Mei 25, mwaka 2024 katika Kitongoji cha Pumuani…

Read More

Msichomeke vitu vingi kwenye kebo moja

Meneja wa Shirika la umeme Tanesco Mkoa wa Kinondoni kusini Mhandisi Florance Mwakasege amewataka wananchi kuacha tabia ya kuunganisha vitu vingi kwenye kebo Moja kwakuwa ni hatari na inaweza kusababisha mlipuko ambao utagharimu maisha na Mali zao. Mhandisi Mwakasege ametoa wito huo katika bonanza lililokutanisha wafanyakazi wa shirika hilo mkoa wa Kinondoni kusini lenye lengo…

Read More

Boban akimbilia Tusker Kenya | Mwanaspoti

TUSKER ya Kenya imekamilisha uhamisho wa aliyekuwa mshambuliaji wa Biashara United, Mganda Boban Zirintusa kwa mkataba wa mwaka mmoja. Msimu uliopita nyota huyo alikuwa katika kiwango bora kwenye kikosi hicho cha Mara kilichoshiriki Ligi ya Champion-ship baada ya kufunga mabao 21, ikiwa ni idadi sawa na shambuliaji nyota wa KenGold, Edgar William. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Mpya wafanyabiashara Musoma wafunga mageti ya soko

Musoma. Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Manispaa ya Musoma mkoani Mara, wamefunga milango ya kuingia sokoni hapo, wakishinikiza kuondolewa kwa wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ wanaofanya shughuli zao kuzunguka soko hilo. Wafanyabiashara hao wamegoma kuingia sokoni wakidai mazingira ya kufanya biashara sio rafiki. Wakizungumza wakiwa nje ya soko hilo leo, Jumatatu, Julai mosi, 2024, wamesema hawatafungua milango…

Read More

Miradi 45 ya Kisayansi Kuonyeshwa Mashindano ya YST 20

SHIRIKISHO la Wanasayansi Chipukizi (Young Scientists Tanzania – YST) limetangaza kuwa jumla ya miradi 45 ya kisayansi imechaguliwa kushiriki katika Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi yatakayofanyika Septemba 18, 2025 katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM). Mwanzilishi Mwenza wa YST, Dk. Gozibert Kamugisha, alisema miradi hiyo imelenga kutoa suluhisho za kisayansi na kiteknolojia kwenye…

Read More

Wanakimanumanu waanza kujipata | Mwanaspoti

KOCHA wa African Sports ‘Wanakimanumanu’, Kessy Abdallah amesema angalau kwa sasa timu hiyo inaendelea kuimarika tofauti na mwanzoni na sababu kuu ni mbili, kuchezea nyumbani na wachezaji kufuata maelekezo yake kwa ufasaha. Timu hiyo imeshinda michezo miwili mfululizo kwa mara ya kwanza msimu huu, tangu mara ya mwisho ilipochapwa mabao 2-0 na Transit Camp Januari…

Read More

HISIA ZANGU: Simba mpya, sura mpya, bora hasara kuliko fedheha

NILIMTAZAMA tena na tena Babacar Sarr. Nikavua miwani halafu nikavaa tena. Nikamtazama tena na tena. Labda nilikuwa naona mpira katika macho tofauti. Ni mchezaji aliyekuwa ameletwa kufanya mabadiliko makubwa kikosini na kukomesha utawala wa Yanga? Sikuona kitu kama hicho. Alikuwa kiungo wa kawaida tu. Anayepokea mpira na kutoa pasi. Basi. Hakukuwa na maajabu mengine. Kwamba…

Read More