Coastal: Ikija pesa nzuri tunauza mastaa

BAADA ya kujihakikishia kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao, Coastal Union imesema haitakubali kuondokewa kirahisi na nyota wake walioonyesha viwango bora, bali ni kwa maslahi mapana ya timu hiyo. Costal Union inatarajia kushiriki michuano hiyo kufuatia kumaliza katika nafasi ya nne kwenye Ligi Kuu, ambapo itakuwa mara ya pili kucheza kimataifa baada…

Read More

ASP Mwakinyuke: Wazazi waache tabia ya kuwaogopa watoto wao

Dar es Salaam. Wazazi nchini wametakiwa kuacha kuwaogopa watoto wao na badala yake wanaoaswa kuwafanya marafiki ili wafahamu kila changamoto inayowakabili. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Kituo cha Polisi Tabata jijini Dar es Salaam, ASP David Mwakinyuke, akisema kama kuna jambo ambalo mzazi anapaswa kulipa kipaumbele ni kuacha kuogopa kuzungumza na mwanaye na kumweleza…

Read More

BENKI KUU KUSIMAMIA KANZIDATA YA TAARIFA ZA WAKOPAJI

 Na. Saidina Msangi, WF, Dodoma.   Serikali imesema kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imetoa leseni kwa kampuni mbili za kuchakata taarifa za mikopo, kampuni hizo ni Creditinfo Tanzania Limited na Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania Limited.   Hayo yameelezwa bungeni, jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb), wakati…

Read More

Biashara United wanaitaka timu yoyote Ligi Kuu

‘AJE yeyote’. Ni kauli na tambo za Biashara United ikieleza kuwa tayari kukabiliana na mpinzani yeyote wa Ligi Kuu katika mchezo wa mchujo (play off) kutafuta kupanda Ligi Kuu Bara msimu ujao. Biashara United ina uwezekano wa kukutana kati ya Kagera Sugar na Tabora United ambazo zipo nafasi ya 13 na 14 kwenye msimamo wa…

Read More

TANZANIA, UFARANSA ZAENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI

UHUSIANO Baina ya Tanzania na Ufaransa umeendelea kuimarika hususani katika masuala ya biashara na uwekezaji ambapo kampuni zipatazo 27 kutoka nchini Ufaransa zimewasili nchini na kukutana na wafanyabiashara wa Tanzania na kujadili namna ya kufanya biashara na uwekezaji utakaonufaisha mataifa hayo mawili kwa kuangazia masuala ya muindombinu na usafirishaji, nishati, ukuaji wa miji na sekta…

Read More