Udom wabuni mfumo kudhibiti madalali wa bei za mazao

Dodoma. Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kimeanzisha mfumo wa kisasa wa kurahisisha mnyororo wa ugavi wa mazao kutoka kwa wakulima hadi sokoni kwa kutumia teknolojia ya mtandao (blockchain), utakaosaidia kudhibiti madadali. Mfumo huu unalenga kuondoa changamoto ya soko, ambapo wakulima wamekuwa wakikumbwa na matatizo ya ukosefu wa taarifa sahihi za masoko, bei za mazao kubadilika…

Read More

Mawasiliano Same-Mkomazi yarejea daraja likikamilika 

Same. Mawasiliano barabara kuu ya Same -Mkomazi, wilayani Same yamerejea baada ya ujenzi wa Daraja la Mpirani kukamilika. Daraja hilo ambalo lipo Kata ya Maore, lilivunjika Januari 2, 2025 baada ya nguzo zilizokuwa zimelishikilia kuathiriwa na mvua. Kuvunjika kwa daraja hilo kulisababisha adha ya usafiri na usafirishaji hasa kwa wananchi wanaoishi katika safu za milima…

Read More

Viongozi wa dini wasisitiza nguvu mpya 2025

Dar/mikoani. Tunasonga mbele, ndiyo ujumbe unaobeba nasaha za jumla za viongozi wa kiroho katika ibada za mkesha wa mwaka mpya 2025 na kusahau mabaya yaliyopita. Kwa mujibu wa viongozi hao wa dini, wananchi hawapaswi kuuanza mwaka 2025 kwa kukumbuka changamoto, mabaya na madhila yaliyowatokea mwaka jana, wanapaswa kuganga yajayo kwa kuruhusu faraja ya mwaka mpya….

Read More

Mavunde apiga marufuku leseni za madini bila uongezaji thamani

Dodoma. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amepiga marufuku utoaji wa leseni kwa wawekezaji wa madini wasio na teknolojia ya kuongeza thamani ya madini. Mavunde ametoa kauli hiyo leo Jumapili, Februari 16, 2025, alipotembelea kiwanda cha kuongeza thamani ya madini cha Shengde Precious Metal Co. kinachojengwa katika Kata ya Nala, jijini Dodoma. “Mwekezaji yeyote anayetaka leseni…

Read More

CCM YAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA HOTUBA YAKE KILIMANJARO

 Cha Mapinduzi (CCM), kimempongeza Rais DK Samia Suluhu Hassan kwa hotuba yake aliyoitoa Kilimanjaro ya kukemea vitendo vya utekaji na mauaji huku akiliagiza jeshi la Polisi kufanya uchunguzi wa kina kubaini wale wanao husika na vitendo hivyo huku kikilaani vitendo hivyo vya upotoshaji wa hotuba hiyo vinavyofanywa na wapinzani hususan Chadema. Pia, alisema CCM imejipanga…

Read More

WAWEKEZAJI WALIOKIUKA MKATABA RANCHI YA USANGU KUONDOLEWA

Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti akikagua mashamba ya kuzalishia Mifugo na Malisho kwenye Ranchi za Taifa Usangu wakati wa Ziara yake Machi 7, 2025 Wilayani Mbarali mkoani Mbeya.Naibu waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti akikagua mashamba ya kuzalishia Mifugo na Malisho kwenye Ranchi za Taifa Usangu na kushuhudia jinsi…

Read More