Mandonga atamba na ngumi kusanyakusanya Tabora

BONDIA machachari wa ngumi za kulipwa nchini  Kareem Mandonga  sambamba na wenzao wamepimwa uzito leo kwa ajili ya mapambano yatakayofanyika kesho Jumamosi, huku bondia huyo akitamba na ngumi mpya iitwayo ‘Kusanyakusanya’. Mandonga na wenzao wanatarajia kupigana kesho usiku katika  ‘Usiku wa Mabingwa wa Tabora’ ambapo Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Upendo Belti Wella kwa niaba…

Read More

DKT. BITEKO ATAKA WATUMISHI WIZARA YA NISHATI NA TAASISI ZAKE KUWA MFANO WA MATUMIZI NISHATI SAFI YA KUPIKIA

:::::: Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, amewataka watumishi katika Wizara ya Nishati na Taasisi zilizochini ya wizara hiyo kuwa mfano katika matumizi ya  Nishati Safi ya kupikia ili kuitekeleza kwa vitendo ajenda iliyoasisiswa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan  inayolenga kuhamasisha matumizi ya nishati safi na salama kwa afya…

Read More

Elimu, uwekezaji vikwazo ufikiaji fursa uchumi wa buluu

Dar es Salaam. Kukosekana kwa elimu ya kutosha na uwekezaji zimetajwa kuwa sababu zinazofifisha jitihada za ufikiaji wa fursa zilizopo katika uchumi wa buluu nchini. Hayo yanasemwa wakati ambao tayari Serikali imezindua mkakati wa kitaifa unaolenga kuhakikisha fursa zilizopo katika uchumi wa buluu zinafikiwa kikamilifu. Hayo yamebainishwa na Mkuu wa Chuo cha Bahari (DMI), Profesa…

Read More

‘Kushindwa kwa ubinadamu yenyewe’, anasema mkuu wa UN – maswala ya ulimwengu

Un Katibu Mkuu António Guterres Alisema matokeo ya Uchambuzi wa Uainishaji wa Awamu ya Usalama wa Chakula (IPC) hawakuwa siri: “Ni janga lililotengenezwa na mwanadamu, mashtaka ya maadili-na kutofaulu kwa ubinadamu yenyewe. “Familia sio juu ya chakula; ni Kuanguka kwa makusudi ya mifumo inayohitajika kwa maisha ya mwanadamu. “ Hali ya njaa inakadiriwa kuenea kutoka…

Read More

WATUMIAJI WA BARABARA YA CHAMWINO – DABALO

:::::::::: Meneja wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dodoma Mhandisi Zuhura Amani, ameleeza kuwa Serikali inaendelea kutekeleza ujenzi wa Daraja la mita 60 na upana wa mita 11.6, lililopo eneo la Nzali – Chilonwa, Wilayani Chamwino Mkoani Dodoma ambalo litakuwa ni suluhisho la kudumu kwa wananchi wa Wilaya hiyo. Ameeeleza Ujenzi wa Daraja…

Read More

Waziri Kikwete azindua miongozo mitatu, mifumo ya ajira

Dodoma. Serikali imezindua miongozo mitatu na mifumo miwili ambayo inalenga kuondoa malalamiko ya kiutendaji kwa watu wanaoomba ajira na kuweka wazi taarifa zote zinazohusu masuala ya ajira. Miongozo na mifumo hiyo imezinduliwa leo Ijumaa, Agosti 22, 2025 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwan Kikwete….

Read More

Mapya yaibuka mahakamani kesi ya wagombea urais CCM

Dodoma/Dar. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imeifuta kesi ya kikatiba ya kupinga uteuzi wa Samia Suluhu Hassan, kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Uamuzi huo umetolewa kutokana na pingamizi la awali lililowekwa na Chama cha Mapinduzi (CCM). Kesi hiyo imefutwa leo Agosti 22, 2025 na jopo la majaji Joachim Tiganga (kiongozi wa jopo),…

Read More