ZRA Julai yakusanya Billioni 53.322

Mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA katika taarifa yake ya kwa walipa kodi imesema katika mwezi wa Julai wa mwaka wa Fedha 2024/2025 ikikadiriwa kukusanya Tsh 50.490 Billioni na imefanikiwa kuvuka lengo katika mwezi Julai akisoma Taarifa hiyo Said Ali Mohammed ambae ni Kaimu Kamishna Mkuu wa ZRA amesema mamlaka ya mapato Zanzibar imefanikiwa kukusanya Tsh…

Read More

Wanafunzi wawili wafariki kwa kufukiwa na kifusi

Dodoma. Wanafunzi wawili wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari ya Mbalawala jijini Dodoma wamefariki dunia na mmoja kujeruhiwa baada ya kufukiwa na kifusi cha mchanga wakati wakichimba mchanga Mbalawala jijini Dodoma. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa CCM wa Kata ya Mbalawala, Athanas Sajilo, waliofariki ni Oscar Richard (19) na Andrea Chibago (19) huku…

Read More

Nini maana ya haki za binadamu kwa vijana waliokimbia makazi yao – Masuala ya Ulimwenguni

Katika mazungumzo ya kusisimua ya mwingiliano, OHCHRAjith Sunghay alikuwa amewaalika wanafunzi wachanga kujadili nini maana ya haki za binadamu kwao. Kwa upande wao, walishiriki maumivu na matumaini yao, wakituma ujumbe kwa ulimwengu wa kutaka kukomesha vita ili warudi makwao salama. “Tunataka kuonyesha mshikamano nao, kuwaunga mkono, kufanya kazi nao na kuona jinsi tunavyoweza kuimarisha uhusiano…

Read More

Mahindra kuja na Magari ya Umeme na Gesi Tanzania

Balozi wa India nchini Tanzania, Bishwadip Dey amesema Tanzania iko katika hatua za mwisho kutengeneza magari yanayotumia Umeme na Gesi nchini kupitia kiwanda cha kampuni ya GF kilichopo Kibaha mkoani Pwani. Akizungumza na Waandishi wa Habari wakati wa hafla ya uzinduzi wa gari ya Mahindra Scorpio uliofanyika jijini Dar es salaam, Balozi Dey amesema kutokana…

Read More

Faida, Hasara Za Wapendanao Kuambizana Ukweli! – Global Publishers

UKIZUNGUMZA na wanaume wengi kwa sasa, watakuambia wanawake siyo wa kuwaeleza kila kitu katika uhalisia wake. Wanatakiwa kudanganywa kidogo ili mambo yaende. Wanaitumia hiyo kama silaha wakidai kwamba wanawake ni watu ambao wakijua kila kitu wanasumbua. Wanaamini kwamba hata kama ni fedha, mwanaume akimuambia mpenzi wake ana jumla ya kiasi fulani cha fedha basi matumizi yatakayoibuliwa…

Read More

Zingatia haya kuepuka ajali barabarani

Mwanza. Huenda ukawa ni miongoni mwa watu wanaotarajia kusafiri mwishoni mwa mwaka kwenda kusherehekea sikukuu za Krismasi na Mwaka mpya. Jeshi la Polisi limetaja mambo saba ya kufuatwa na madereva, abiria na watumiaji wa barabara ili kuepuka ajali za barabarani katika kipindi hicho. Mambo hayo yametajwa leo Jumatatu, Desemba 16, 2024 na Mkuu wa Dawati…

Read More

Kibu Denis afichua siri ya Ubaya Ubwela

NYOTA wa Simba, Kibu Denis ‘Mkandaji’ ambaye aliwafanya wachezaji na maofisa wa CS Sfaxien kurusha ngumi kwa mwamuzi Andoftra Revolla Rakotojuana, amefichua mazito yaliyowabeba katika mchezo wao wa Kundi A la Kombe la Shirikisho Afrika uliochezwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Kibu ndiye aliyefunga mabao yote mawili dakika ya saba na 90+8…

Read More

Uongozi mpya wa Chadema unavyopita katika tanuri la moto

Dar es Salaam. Tangu Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilipofanya uchaguzi wake wa ndani na kupata viongozi wapya, Januari 22, 2025, hali haijawa shwari ndani ya chama hicho kutokana na mwendelezo wa makundi. Katika uchaguzi huo uliofanyika Januari 21, 2025, Tundu Lissu aliibuka mshindi akimbwaga Freeman Mbowe ambaye amekuwa mwenyekiti wa chama hicho kwa…

Read More

Dira Mpya ya Hatua ya Hali ya Hewa – Masuala ya Ulimwenguni

Mhe. Ralph Regenvanu Maoni na Ralph Regenvanu (bandari vila, vanuatu) Ijumaa, Novemba 29, 2024 Inter Press Service PORT VILA, Vanuatu, Nov 29 (IPS) – Ralph Regenvanu, Mjumbe Maalum wa Mabadiliko ya Tabianchi na Mazingira wa Jamhuri ya VanuatuMgogoro wa hali ya hewa umekuwa mbaya duniani kote katika kipindi cha miezi michache iliyopita: vimbunga vikubwa yanayojitokeza…

Read More