ZRA Julai yakusanya Billioni 53.322
Mamlaka ya mapato Zanzibar ZRA katika taarifa yake ya kwa walipa kodi imesema katika mwezi wa Julai wa mwaka wa Fedha 2024/2025 ikikadiriwa kukusanya Tsh 50.490 Billioni na imefanikiwa kuvuka lengo katika mwezi Julai akisoma Taarifa hiyo Said Ali Mohammed ambae ni Kaimu Kamishna Mkuu wa ZRA amesema mamlaka ya mapato Zanzibar imefanikiwa kukusanya Tsh…