
MTATURU AMWAGA NEEMA SHULENI MWAU.
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,akimkabidhi cheti mwanafunzi wakati wa mahafali ya Kidato cha Nne shule ta sekondari Mwau iliyopo Kata ya Manginyi ……… MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ameshiriki mahafali ya Kidato cha Nne shule ta sekondari Mwau iliyopo Kata ya Manginyi na kutoa msaada wa mashine ya kudurufu na Sh.Milioni tatu ya…