WAZIRI MKUU AKUTANA NA BALOZI WA DENMARK NCHINI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Denmark nchini, Mhe. Jespper Kammersgaard, kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar es salaam,  November 4, 2024. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi zawadi ya picha,  Balozi wa Denmark nchini,   Mhe. Jespper Kammersgaard  baada ya mazungumzo  kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu, Magogoni jijini Dar…

Read More

Chama ashtua!… Wadau wafunguka | Mwanaspoti

MASHABIKI wa Simba wamepata mshtuko. Hii ni baada ya mpira mkubwa alioupiga Clatous Chama katika mechi mbili za raundi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika akiwa na kikosi cha Yanga. Awali mashabiki hao na baadhi wa klabu ya Yanga walikuwa wakiuponda usajili ya kiungo mshambuliaji huyo kutua Jangwani. Walikuwa wakidai ni mzee na aliyepitwa…

Read More

Wafanyabiashara Simu200 wamfukuza DC Ubungo

Dar es Salaam. Katika mgomo wa wafanyabiashara wadogo maarufu kama wamachinga eneo la Soko la Simu2000, Ubungo jijini Dar es Salaam, wamedai wamekosa imani na Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko katika kushughulikia changamoto zao. Hatua hiyo imefikiwa baada ya kile walichoeleza kuwa licha ya kumlalamikia mara kadhaa kuhusu changamoto zao, ameishia kuwaahidi kwenda…

Read More

50 BORA KUZINDULIWA SIKU YA EID PILI

DENIS MLOWE, IRINGA Baada ya kuhairishwa uzinduzi wa mashindano ya Kombe la Vunja bei Machi 19 sasa rasmi ku,zinduliwa Eid Pili (April 2) katika kiwanja cha Kalenga kilichoko wilaya ya Iringa vijijini mkoani hapa huku uzinduzi huo ukisindikizwa wasanii maarufu kutoka jijini Dar es Salaam. Akitoa taarifa ya uzinduzi huo msemaji wa kampuni ya Vunja…

Read More

Ifahamu Hospitali ya Gemelli anayotibiwa Papa Francis

Dar es Salaam. Hospitali ya Gemelli ni moja ya hospitali kubwa na maarufu nchini Italia, iliyo mjini Roma, anayotibiwa Baba Mtakatifu, Papa Francis. Hospitali hiyo, Policlinico Universitario Agostino Gemelli, ni hospitali ya Kikatoliki, iliyofunguliwa miaka ya 1960. Ikiwa na vitanda zaidi ya 1,500 vya kulaza wagonjwa, Gemelli ni moja ya hospitali kubwa zaidi za kibinafsi…

Read More

Kuwa sehemu ya mabadiliko, mbio za baiskeli za Vodacom Twende Butiama 2024

  Tanzania inapoelekea kuadhimisha miaka 25 tangu kufariki kwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Vodacom Tanzania na Klabu ya Baiskeli ya Twende Butiama wametangaza kufunguliwa rasmi kwa usajili wa mbio za baiskeli za Twende Butiama Mwaka 2024. Mbio hizo, zitakazofanyika kuanzia Septemba 28 hadi Oktoba 14, zinaadhimisha urithi wa Baba wa Taifa kupitia uendeshaji baiskeli, shughuli…

Read More

Waajiri watakiwa kutoa taarifa za wanaoumia kazini

Arusha. Serikali imewaagiza waajiri kote nchini kutoa taarifa katika Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), zinazohusu wafanyakazi wao wanaopata ajali, ugonjwa au kifo katika maeneo yao ya kazi, ili waweze kupatiwa stahiki zao kwa wakati kwa mujibu wa sheria. Hayo yamebainishwa Agosti 30, 2024 na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira…

Read More

Umaskini Umeenda Wapi? – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Sabina Alkire, Michelle Muschett (new york / oxford, uk) Jumatano, Septemba 18, 2024 Inter Press Service NEW YORK / OXFORD, UK, Sep 18 (IPS) – Mgawanyiko wa kisiasa, dharura ya hali ya hewa, uhalifu uliopangwa, uhamiaji, na ukuaji mdogo wa uchumi kwa sasa unatawala mjadala wa umma katika Amerika ya Kusini na Karibiani…

Read More

Mkakati mkubwa wa teknolojia ya kifedha, kuimarisha uwezo wa biashara za wasambazaji wa ndani na wajasiriamali wazinduliwa

Katika mkakati unaolenga kuleta mabadiliko kwenye sekta ya biashara, na kuendeleza upatikanaji wa huduma za kifedha nchini Tanzania kwa ufanisi zaidi benki ya Stanbic Tanzania inashirikiana na Ramani, kampuni namba moja kwenye teknolojia ya kifedha, malengo yakiwa kutumia teknolojia na msaada kubwa ya kifedha, kuimarisha uwezo wa biashara za wasambazaji wa ndani na wajasiriamali. Muunganiko…

Read More