Bingwa Taifa Cup kuvuta Sh 7Milioni

BINGWA wa mashindano ya CRDB Taifa Cup kwa upande wa wanaume na wanawake atazawadiwa kila moja Sh million 7. Hayo yalisemwa na Meneja wa Kanda ya Kati wa beki hiyo, Chabu Mishwaro mjini Dodoma wakati mashindano hayo yakishika kasi kwenye viwanja vya Chinangali,  kwa upande wa wanaume na wanawake. Mishwaro alisema, washindi wa pili kwa…

Read More

Haki, si Uadhibu, kwa Wasichana wa Asili Walionyanyaswa Kimapenzi nchini Peru – Masuala ya Ulimwenguni

Mabweni ya wasichana wa kiasili wa watu wa Awajún, katika makao wanamoishi na kupokea elimu ya lugha mbili ya kitamaduni, katika mkoa wa Condorcanqui, jimbo la Amazonas, kaskazini-mashariki mwa Peru. Credit: Kwa Hisani ya Rosemary Pioc na Mariela Jara (lima) Jumatatu, Julai 08, 2024 Inter Press Service LIMA, Julai 08 (IPS) – Hofu kuu inayowakabili…

Read More

Fadlu: Kijili anachangamoto inayohitaji muda kuisha

IKIWA imesalia saa chache kabla ya Simba kushuka kwenye Uwanja wa Juni 11, jijini Tripoli Libya kuvaana Al Ahli Tripoli, kocha wa kikosi hicho cha Msimbazi, Fadlu Davids amemtaja Kelvin Kijili akisema ni mmoja wa mabeki wa kulia wenye uwezo mkubwa, huku beki huyo akifunguka kwa Mwanaspoti. Simba ipo ugenini kuanzia saa 2:00 usiku kucheza…

Read More

KUTOKA NDANI YA JIMBO LA KIBAMBA JIONI YA LEO.

Picha mbalimbali za matukio ya Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel John Nchimbi kwenye mkutano wake wa hadhara uliofanyika leo Septemba 29,2025 katika viwanja vya Malamba Mawili,Jimbo la Kibamba wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam.  

Read More

REA KUSAMBAZA MITUNGI YA GESI 19,530 MKOANI SINGIDA

*📌Wananchi 3,255 kila wilaya ya mkoa huo kunufaika* Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA); kuanzia tarehe 20 Januari, 2025 itaanza kusambaza mitungi ya gesi ya kilo 6 mkoani Singida ili kusaidia Wananchi kutumia nishati hiyo kwa ajili ya kupikia. Hayo yamesemwa leo, tarehe 22 Desemba, 2024 na Mkuu…

Read More