JKU yabeba tena Ngao ya Jamii Zenji

MABINGWA wa Ligi Kuu Zanzibar, JKU jioni ya leo Jumapili imefanikiwa kutetea tena Ngao ya Jamii baada ya kuinyoosha Chipukizi kwa mwaka 2-0 katika mechi kali iliyopigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, mjini Unguja. Msimu uliopita JKU ilitwaa taji hilo kwa kuifunga KMKM kwa mabao 5-2 katika mechi iliyopigwa Septemba 9 na leo ikikutana tena…

Read More

Vicoba chachu ya ukombozi wa wanawake kiuchumi

Dar es Salaam. Tunapoadhimisha Siku ya Wanawake Duniani, kuna haja ya kutambua na kusherehekea mchango wa wanawake nchini katika kukuza uchumi wa familia na jamii kwa ujumla. Licha ya changamoto wanazokabiliana nazo, bado wamekuwa nguzo katika ustawi wa familia kupitia shughuli za kiuchumi, hasa kwa kutumia vikundi vya kijamii vya kuweka na kukopa (Vicoba). Kupitia…

Read More

Nahdi atunisha msuli mbio za magari

WALEED Nahdi ni ingizo jipya la madereva wanaotarajiwa kushiriki raundi ya pili ya mbio za magari ubingwa wa taifa zitakazofanyika Iringa mwishoni mwa wiki ijayo. Nahdi anakuwa dereva wa 13 kuthibitisha ushiriki wake katika vita hiyo ambayo itafanyika Septemba 14 na 15. “Ni mtihani mkubwa kwangu, lakini nina imani ya kufanya vizuri kama kijana mwenye…

Read More

Chanika moto mkali Ligi ya Kriketi U19 

MICHUANO ya Kombe la TCA kwa vijana wa umri wa chini ya miaka 19 iliwasha moto kwenye viwanja viwili jijini Dar es Salaam ambako timu za Chanika Boys na Indian School zilitoka na ushindi mnono. Timu ya Chanika Boys ilionyesha ujasiri mkubwa baada ya kuifunga KSIJ Red kwa mikimbio 59 katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja…

Read More

WAKANDARASI WAZEMBE,WANAOCHELEWESHA MIRADI WABANWE -RC KUNENGE

  Mwamvua Mwinyi, Pwani  6,disemba,2024 Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ameitaka Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Pwani kuchukua hatua za kisheria dhidi ya wakandarasi wanaokiuka mikataba ya ujenzi kwa kuchelewesha miradi. Kunenge alitoa agizo hilo ,wakati wa kikao cha Bodi ya Barabara Mkoa kilichofanyika Kibaha, akisisitiza umuhimu wa kuhakikisha miradi inatekelezwa…

Read More

MAKAMU WA RAIS AKIONDOKA LESOTHO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiondoka katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mashoeshoe mjini Maseru nchini Lesotho mara baada ya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika sherehe za Miaka 58 ya Uhuru wa Lesotho na Miaka 200 ya…

Read More