
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 27,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 27,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO MEI 27,2024 About the author
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa nishati Dkt. Dotto Biteko amepiga marufu kwa viongozi kuingilia mihimili badala yake wawasaidie wananchi kutatua changamoto zao bila kuvunja utaratibu wa kisheria huku akitaka mihimili kufanya kazi kwa pamoja. Biteko ametoa maelekezo hayo mkoani Njombe wakati akizindua kampeni ya msaada wa kisheria ya mama Samia (Mama Samia Legal Aid…
KILE chenye raha huwa kina karaha yake. Shabiki mmoja wa Yanga amejikuta kwenye maumivu ya muda baada ya kutandikwa teke mgongoni na farasi wa Polisi. Wakati Yanga ikiendelea na msafara wake wa kulitembeza Kombe la ubingwa wa Ligi Kuu Bara, ulipofika eneo la Temeke Chang’ombe pale Chuo Cha ufundi Veta shabiki mmoja akamsogelea farasi wa…
Ziara ya kiserikali ya Macron nchini Ujerumani, ya kwanza kufanywa na rais wa Ufaransa katika miaka 24, inajiri wakati madola hayo mawili makubwa Ulaya yanakabiliwa na matatizo mbalimbali, kuanzia vita vinavyorindima kwenye mlango wa Umoja wa Ulaya nchini Ukraine mpaka kuongezeka kwa vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia katika umoja huo na uwezekano…
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania May 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini kenya. The post Habari kubwa Magazetini Kenya leo May 27, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam May 27, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 27, 2024 first appeared on Millard Ayo.
Unguja. Chama cha ACT Wazalendo kimesema kuna mikataba mingi mibovu inayoigharimu nchi na kwamba kikiingia madarakani mwakani kitahakikisha inafumuliwa na kuweka mipya. Kauli hiyo iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo-Zanzibar, Ismali Jussa imejibiwa na Chama cha Mapinduzi (CCM), kikisema chama hicho hakina uwezo huo, bali kinalenga kupata huruma ya wananchi na kutafuta umaarufu wa kisiasa…
NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR. NAIBU Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Dkt.Mohamed Said Dimwa, amewasihi Wananchi wa Jimbo la Kwahani kufanya maamuzi sahihi ya kumchagua mgombea aliyesimamishwa na CCM kwani ndiye mwenye uwezo wa kuendeleza utekelezaji wa Ilani ya CCM ya mwaka 2020/2025 kwa vitendo. Nasaha hizo amezitoa wakati akizindua kampeni za…
Dar es Salaam. Hofu ya kukamilika kwa mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) inaendelea kupata mashiko, kufuatia kuendelea kushuhudiwa kwa ahadi zisizotimizwa za kukamilishwa utekelezwaji wa vipande mbalimbali vya ujenzi huo. Sambamba na ahadi zisizotimizwa, Mwananchi imeshuhudia wafanyakazi katika kambi mbalimbali wakiondolewa na mkandarasi kwa kile kinachodaiwa kuwa Serikali haina fedha ya kumlipa kuendelea na…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalum), Kapteni Mstaafu George Mkuchika (Kushoto) sambamba na Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia (katikati) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya NBC, Dk. Elirehema Doriye (wa pili kushoto) wakikabidhi kombe la Ligi Kuu ya NBC kwa nahodha wa timu ya…