Mwili wa kijana mwenye ualbino wakutwa shambani Morogoro

Morogoro. Mwili wa kijana mwenye ualbino, Rashid Mussa (24), umekutwa katika shamba la mtu asiyejulikana, baada ya kutoweka nyumbani kwake kwa siku tatu. Rashid alitoweka kutoka kijiji cha Kiziwa, Kata ya Kiroka, wilaya ya Morogoro, na mwili wake ulipatikana kwenye shamba hilo, likiwa limetenganishwa na mnazi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, Amesema…

Read More

Nyumba 76 za watumishi wa afya, zitakavyoboresha utoaji huduma

Unguja. Familia 76 zimepata makazi karibu na Hospitali ya Rufaa ya Abdalla Mzee, Kusini Pemba hatua inayotajwa kuongeza ufanisi wa kutoa huduma katika hospitali hiyo baada ya kuwaepusha wataalamu kutembea masafa marefu kwenda kutoa huduma. Nyumba hizo 76 zenye gharama ya Sh16.481 bilioni zimejengwa na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China na kuikabidhi Serikali…

Read More

Mikutano Mitatu ya Mwaka huu ya Umoja wa Mataifa Imeweka Hatua ya COP30 Kubadilisha Mifumo ya Chakula – Masuala ya Ulimwenguni

12 Novemba 2024, Baku, Azerbaijan. Mkurugenzi Mkuu wa FAO QU Dongyu na Ismahane Elouafi, EMD wa CGIAR wanahudhuria uzinduzi wa Banda la Chakula na Kilimo FAO/CGIAR wakati wa COP29. Credit: FAO/Alessandra Benedetti Maoni na Cargele Masso, Aditi Mukherji (nairobi, kenya) Jumanne, Desemba 24, 2024 Inter Press Service NAIROBI, Kenya, Desemba 24 (IPS) – Mwaka huu…

Read More