Jurgen Klopp: Anapumzika na hela zake, jamii, bata vinamsubiri

LIVERPOOL, ENGLAND: JURGEN Klopp ameondoka England baada ya kudumu Liverpool kwa misimu tisa na anahitaji kupumzika. Klopp alisema ameushiwa nguvu ya kuendelea na kazi hiyo na sasa anaenda kutuliza akili baada ya kuichosha muda mrefu akisimamia mafanikio ya miamba hiyo Majogoo wa Liverpool na kwa moyo kunjufu klabu nzima na mashabiki wameridhika. Licha ya Liverpool…

Read More

Lissu: Ugumu wa maisha utamalizika tukipata Katiba mpya

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)-Bara, Tundu Lisu amesema suluhisho la kumaliza ugumu wa maisha uliotamalaki nchini Tanzania ni kwa wananchi wakubali kuanza kutafuta Katiba Mpya. Amesema ugumu huo unachangiwa na upungufu wa Katiba iliyopo kiasi kwamba imezalisha utawala wa viongozi wenye miungu wengi wanaopanga maisha ya watu badala…

Read More

Serikali imeonyesha nia nje, kazi kwa TFF

WIKI iliyopita Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo iliwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi yake kwa mwaka 2024/25 yaliyoonyesha ongezeko kubwa la zaidi ya asilimia 700 kutoka bajeti yake iliyozoeleka iliyokuwa ya takriban Sh35 Bilioni. Bajeti ya safari hii imefikia Sh285.3 Bilioni ukilinganisha na ya mwaka uliopita wa fedha iliyokuwa Sh35.4 Bilioni. Akiwasilisha bajeti…

Read More

Wizara nne kuibua mijadala bungeni

Dodoma. Wakati wabunge kesho Jumatatu, Mei 27, 2024 wakihitimisha mjadala mkali wa changamoto ya migogoro ya ardhi, wiki itakuwa na bajeti tatu ikiwamo ya Wizara ya Ujenzi na ya Maliasili na Utalii.  Mjadala ulianza Ijumaa ya Mei 24, 2024 wakati wabunge wakijadili makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya…

Read More

Mashindano ya gofu Morogoro kitawaka

WACHEZAJI wa gofu kutoka klabu mbalimbali nchini, wameanza kujinoa kwa ajili ya mashindano, yanayotarajia kufanyika Morogoro Gymkaha, kuanzia Juni 14 hadi 16. Mashindano hayo yapo katika kalenda ya Chama cha Gofu Tanzania (TGU) na hadi sasa wachezaji kutoka klabu Kili Golf (Arusha), TPC Club (Moshi), Arusha Gymkhana, Mufindi(Iringa), Lugalo (Dar es Salaam), Moshi Gymkhana, Dar…

Read More

Wenje ashinda uenyekiti Chadema Kanda ya Victoria, Pambalu asusa

Bukoba. Wakati Chama cha Drmokrasia na Maendeleo (Chadema) kikimtangaza Ezekia Wenje kuwa mwenyekiti wa Kanda ya Victoria, mshindani wake wa karibu, John Pambalu ametoweka ukumbini wakati uchaguzi ukiendelea, huku akikataa kueleza sababu za hatua hiyo. Uchaguzi huo wa kanda uliofanyika juzi hadi usiku, ulihusisha mwenyekiti na makamu mwenyekiti wa kanda na viongozi mabaraza ya chama…

Read More

UNAMALIZAJE JUMAPILI HUJABETI NA MERIDIANBET?

JUMAPILI ya leo tutashuhudia mitanange kibao ambayo itamalizika kuanzia kule, Hispania, Italia na kwingineko. Huku Meridianbet wao wanakwambia piga pesa sasa huu ndio ndo wakati wako. Tukianza na ligi kuu ya Hispania, LALIGA leo hii mechi za ligi zinakamilika saa 11:15 jioni Celta Vigo atakuwa mwenyeji wa Valencia ambapo nafasi ya kuibuka na ushindi leo…

Read More