RAIS SAMIA KUUFUNGUA MKOA WA KIGOMA KIUCHUMI – DKT. BITEKO

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Biteko amesema Serikali inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imedhamiria kuipatia Kigoma miradi ya maendeleo na fursa mbalimbali ili kuufungua mkoa huo kiuchumi. Akihutubia katika mkutano wa hadhara katika Kata ya Kasanda Wilaya ya Kakonko leo Septemba 18, 2024 Dkt. Biteko amesema kuwa Serikali…

Read More

MKOA WA LINDI KUFUFUA NA KUANZISHA VIWANDA VIPYA

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Selemani Jafo,akizungumza na kusikiliza kero na maoni ya wafanyabiashara na wawekezaji wa Mkoa wa Lindi wakati  akihitimisha ziara ya siku sita mkoani humo yenye kauli mbiu isemayo ‘Rais Samia na Maendeleo Wasikie na Waone’ inayolenga kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Viwanda na…

Read More

TANDIKA JAMVI LAKO NA MERIDIANBET LEO

LEO hii kuna mechi kibao za kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 Afrika zinaendelea ambapo mabingwa wa ODDS KUBWA Tanzania, Meridianbet wamekuwekea machaguo uyapendayo. Ingia na ubashiri sasa. Tukianza na mechi hii ya Congo Republic ambaye yupo nafasi ya 5 kwenye kundi atakuwa mwenyeji wa Niger ambaye yupo nafasi ya 3 mchezo utakaopigwa majira ya…

Read More