Kasekenya aipa Tanroads wiki kukarabati barabara Morogoro

Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ametoa wiki moja kwa Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Morogoro kuhakikisha anarudisha mawasiliano ya barabara kati ya wilaya ya Ifakara na Malinyi katika kijiji cha Misegese, mkoani humo ili kuruhusu magari kupita baada ya daraja la Mto Fulua kuharibika kutokana na mafuriko. Anaripoti Mwandishi Wetu…

Read More

Zaidi ya watu 8,000 wamehama hifadhi ya Ngorongoro

Ngorongoro. Serikali imesema hadi sasa kaya 1,373 zenye jumla ya watu 8,364 waliokuwa na makazi ndani ya eneo la Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) wamehama kwa hiari kutoka eneo hilo na kwenda Msomera na maeneo mengine nchini. Vilevile, imeeleza kuwa haijasitisha baadhi ya huduma muhimu zikiwemo za elimu na afya katika maeneo ambayo bado…

Read More

Madiwani wamuondoa mbunge kwenye ardhi aliyodaiwa kuvamia

Mtwara. Baraza la Madiwani Manispaa ya Mtwara Mikindani, limebatilisha uhalali wa umiliki wa kiwanja katika eneo la Shangani Mashariki linalotajwa kumilikiwa na mbunge wa Mtwara Mjini, Hassan Mtenga baada ya kamati ya kudumu ya mipango miji, ardhi na ujenzi kujiridhisha kuwa eneo hilo ni mali ya halmashauri hiyo. Akitoa maagizo kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa…

Read More

Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) na Tanzania Zaungana Kupambana na Usugu Wa Vimelea Vya Magonjwa Dhidi ya Dawa (UVIDA) na Magonjwa Ya Zuonotiki

Ofisi ya Waziri Mkuu kwa kushirikiana na Wizara ya Afya, Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID), wanajivunia kuzindua kampeni ya “Holela-Holela Itakukosti” ambayo imezinduliwa Jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kampeni hii unasisitiza mbinu kamilifu ya ” Afya Moja” kushughulikia tatizo la UVIDA na magonjwa ya…

Read More