Tanzania yasaini Mkataba wa Kihistoria wa Kimataifa wa WIPO

Tanzania yaungana na nchi wanachama wa Shirika la Miliki Ubunifu Duniani (WIPO) kupitisha na kusaini Mkataba wa kihistoria wa kimataifa kuhusu Miliki Ubunifu, Rasilimali za Kijenetiki na Maarifa ya Jadi. Mkataba huo unalenga kulinda haki za wenyeji asilia na jamii za kijadi katika kuhakikisha matumizi ya rasilimali za kijenetiki na maarifa ya jadi katika tafiti…

Read More

Shangwe la Yanga Machinga, Kariakoo sio mchezo

BAADHI ya wafanya biashara wa Machinga Complex na Kariakoo, wamesimamisha shughuli zao kwa muda wakishuhudia msafara wa Yanga ukipita, huku wanaoishabikia timu hiyo wakiamsha shangwe kubwaa. Wafanya biashara hao,wamesimama kando ya barabara, wakiangalia mashabiki na basi lililobeba wachezaji wa klabu huyo, wakipita kwa shangwe ya kusherehekea ubingwa wao wa msimu huu. Yanga imefanya msafara huo,…

Read More

WAZIRI JAFO ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWA KUPANDA MTI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Selemani Jafo amewahimiza Watanzania kuendelea kutunza na kuhifadhi mazingira ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi. Amesema suala la hifadhi ya mazingira ni ajenda muhimu hivyo kila mwananchi anao wajibu wa kupanda miti na kuitunza ili kulinda mazingira. Dkt. Jafo ametoa…

Read More

Konde Boy abeti kuchomewa nyumba Yanga ikifungwa

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Rajab Abdul ‘Harmonize’ a.k.a Konde Boy au Jeshi amewapagawisha mashabiki kwa kuwaimba vionjo vya baadhio ya nyimbo zake kisha kumpandisha jukwaani Stephane Aziz Ki mbele ya mashabiki katika Makao Makuu ya klabu hiyo, eneo la Jangwani. Mara baada ya Konde kupanda jukwaani aliwachizisha wanayanga kwa kuimba kionjo cha…

Read More

CDE. MBETO AMTAKA JUSSA KUACHA SIASA ZA KIHARAKATI.

NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR. KATIBU wa Kamati Maalum ya NEC, Idara ya Itikadi, Uenezi na Mafunzo Khamis Mbeto Khamis, amewataka viongozi wa Chama Cha ACT-Wazalendo kuacha upotoshaji juu ya mchakato wa zabuni za makampuni ya uingizaji wa mafuta nchini kwani kampuni ya GBP ndio iliyokidhi vigezo na kupewa tenda hiyo kwa mujibu wa sheria. Alisema mchakato…

Read More

MTU WA MPIRA: Azam FC inakuja taratibu, ubingwa haupo mbali

NANI anafuatilia maendeleo ya Azam FC? Najua sio watu wengi. Ni wachache sana. Kwanini? Kwa sababu sio timu inayopendwa sana. Mashabiki wengi wa soka nchini wanazipenda Simba na Yanga. Ndizo timu za mioyo yao. Azam ilivyoingia kwenye ligi kwa kishindo mashabiki wachache waliipenda. Wengine waliona ni kama timu yenye fedha imekuja kuzinyanyasa Simba na Yanga….

Read More