Yanga yamuuza rasmi Aziz KI, acheza mechi ya mwisho

Kama umemuona kiungo Stephanie Aziz KI uwanjani leo akiichezea Yanga basi umebahatika kumtazama kwa mara ya mwisho kiungo huyo akiwa na jezi ya timu hiyo. Yanga leo Jumapili imemuaga rasmi kiungo huyo uwanjani na wakati wowote kuanzia sasa atatimka kwenda kujiunga na klabu mpya huko Afrika Kaskazini. Taarifa ya uhakika ni kwamba, Yanga itamuuza Aziz…

Read More

WFP KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA TASAF

Na Mwandishi Wetu Mkurugezi Mtendaji wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii TASAF Shadrack Mziray amelishukuru Shirika la Chakula Duniani kwa Niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa  Mchango wao  wanaoutoa wa kunusuru kaya Masikini. Amesema Shirika hilo la Chakula lina mchango mkubwa katika miradi ya maendeleo…

Read More

Nyuki akumbatiwa, Tabora United Ikipigwa nyumbani 

TABORA United wamekuwa na msemo maarufu kwamba ‘nyuki hakumbatiwi’ kutokana na ukali wa mdudu huyo, lakini leo nyuki amekumbatiwa baada ya timu hiyo kukung’utwa mabao 3-1 na Fountain Gate katika mchezo wa Ligi kuu Bara uliochezwa  kwenye Uwanja wa Alhasan Mwinyi mjini Tabora. Awali, mshambuliaji wa Tabora United, Heritier Makambo alikosa mkwaju wa penati baada…

Read More

Viongozi Chadema wafurika makao makuu kusubiri tamko

Dar es Salaam. Wafuasi na wanachama wa Chadema, wazee kwa vijana wanawake kwa wanaume, wamejitokeza katika Ofisi za Makao Makuu ya chama hicho, Mikocheni, jijini Dar es Salaam kusubiri tamko la viongozi wao. Tamko hilo ni matokeo ya kikao cha viongozi wote wa chama hicho, Dar es Salaam na Pwani Kaskazini kuanzia ngazi ya Kata…

Read More

Waziri Mkuu Majaliwa Akagua Huduma za Mabasi ya Mwendokasi Kivukoni – Video – Global Publishers

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amefika katika Kituo cha Mabasi ya Mwendokasi Kivukoni kuangalia jinsi shughuli za usafirishaji zinavyoendelea baada ya kuingizwa kwa mabasi mapya katika ruti za Kimara kuelekea Gerezani, Kivukoni na Morocco. Akiwa kituoni hapo, Majaliwa ameelezea mipango ya serikali ya kuboresha usafiri huo na kueleza kuwa mabasi mapya yaliyoingia barabarani…

Read More

Kocha Berkane aondoka na jina la staa huyu Simba

KOCHA wa RS Berkane, Moine Chaabani, amekiri pamoja na timu anayoinoa kubeba ubingwa wa tatu wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuzidi akili Simba ikiwa nyumbani kwa kulazimisha sare ya 1-1 kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar, lakini kuna jina la mchezaji waliloondoka nalo. Berkane ilitwaa ubingwa huo wa CAF ikiifikia CS Sfaxien ya…

Read More

Muhimbili yapata ithibati ya tatu ya ubora wa maabara

Dar es Salaam. Maabara Kuu ya Hospitali ya Muhimbili imetunukiwa cheti cha ithibati ya ubora, kitakachodumu kwa miaka mingine mitano. Faida za kupata ithibati hiyo zimeelezewa kwa undani, ikiwemo kuimarika kwa ubora wa huduma za vipimo. Ithibati hiyo hutolewa na Bodi ya Ithibati ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADCAS). Mchakato wa kuandaa Maabara Kuu…

Read More

Cheza Spin 100, Pata 50 Bure, Zombie Apocalypse Yaanza Sasa

MERIDIANBET kwa kushirikiana na Expanse Studios wamezindua Zombie Apocalypse, promosheni mpya ya kuvutia inayowahamasisha wachezaji kuingia katika ulimwengu wa vita vya kutisha dhidi ya zombie, huku wakifurahia burudani ya hali ya juu na fursa kabambe za ushindi. Kuanzia tarehe 1 hadi 31 Agosti 2025, wachezaji wamekuwa wakialikwa kushiriki kwenye mchezo huu wa kipekee ambapo kila…

Read More

Chadema kukutana kujadili uamuzi wa Mahakama

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeitisha kikao cha dharura kujadili uamuzi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo kushiriki kwa namna yoyote shughuli zote za kisiasa kwa muda na kutoka na uamuzi wa nini watafanya. Uamuzi huo wa Mahakama umetolewa leo Jumanne Juni 10, 2025 na Jaji Hamidu Mwanga kufuatia kesi…

Read More