Wananchi watakiwa kushirikiana kusimamia maadili Machomane

Pemba. Wananchi wa Mji wa Machomane Wilaya ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba, wametakiwa kushirikiana na viongozi wa dini kurejesha maadili kwa vijana, yanayotajwa kuporomoka.  Kiongozi wa Jumuiya ya Kiislamu Jai, Shekh Khamis Mwadini ametoa kauli hiyo leo Jumapili Mei 26, 2024 wakati akizungumza na wananchi hao katika mkutano wa kujadili mporomoko wa maadili unavyouathiri…

Read More

Yao apewa kiroba cha Nyanya Karume

MSAFARA wa Paredi la Kibingwa la Yanga inayosherehekea ubingwa wa 30 katika Ligi Kuu Bara na wa misimu mitatu mfululizo haushi vituko, kwani mara ulipoibukia pembeni ya soko la bidhaa la Karume, maeneo la Ilala, beki wa kulia wa timu hiyo,  Yao Kouassi alijikuta akipewa zawadi ya aina yake. Yao akiwa kwenye furaha na mashabiki…

Read More

Simu janja kutumika kulinda hifadhi za bahari Z’bar

Unguja. Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi imeanza mpango wa kulinda na kusimamia maeneo matano ya hifadhi ya bahari kwa kutumia mfumo maalumu uliounganishwa katika simu janja. Hatua hiyo imekuja baada ya wizara hiyo kwa kushirikiana na Jumuiya ya Kuhifadhi Wanyamapori (WCS), kugawa simu zilizounganishwa kimfumo kwa wasimamizi wa maeneo hayo Unguja na Pemba….

Read More

CHEZA EXPANSE TOURNAMENT NA USHINDE MGAO WA MERIDIANBET KASINO

PROMOSHENI ya Expanse Tournament ndani ya Meridianbet Kasino bado inaendelea, nafasi ni yako wewe mpenzi wa michezo ya kasino ya mtandaoni kuendelea kupiga pesa nyingi. Kushiriki kwenye promosheni hii jisajili hapa. Katika promosheni hii unapokuwa unacheza mchezo wako pendwa wowote ule uliotengenezwa na Expanse, dau la chini kwa kila mchezo ni Tsh 400/= mfano Sloti ya…

Read More

Paredi la ubingwa Yanga neema tupu

KATIKA msafara wa Yanga, bodaboda wamepata fursa ya kupiga pesa, kutoka kwa mashabiki ambao wamechoka kutembea na kuamua kutumia usafiri huo. Mwanaspoti lipo kwenye msafara huo, limeshuhudia baadhi ya mashabiki wakikubaliana bei na bodaboda ambao wamebeba abiria mmoja na wengine hawana watu kabisa. Kutokana na msafara kuwa na magari mengi yanayotembea taratibu,kumekuwa na foleni, inayosababisha…

Read More

Wakazi 1,428 Liwale kunufaika na mradi wa maji

Liwale. Wakazi 1,428 wa Kijiji cha Nangano kilichopo Wilaya ya Liwale mkoani Lindi wanarajiwa kunufaika na mradi wa maji wa Sh461 milioni unaotekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa). Akizungumza leo Jumapili Mei 26, 2024 mbele ya kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Godfrey Mnzava, Meneja wa Ruwasa Liwale,…

Read More

Mamia ya waumini wajitokeza kuwekwa wakfu Askofu Mwasekaga

Mbeya. Mamia ya waumini wa Kanisa Katoliki kutoka maeneo mbalimbali nchini wamejitokeza katika ibada maalumu ya kuwekwa wakfu, Askofu msaidizi mteule, Godfrey Mwasekaga. Tukio hilo linafanyika leo JumapiliMei 26, 2024 katika Viwanja vya Sokoine jijini Mbeya huku Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa  mgeni rasmi katika ibada hiyo ya kumsimika kiongozi huyo wa kiroho. Mwasekaga aliteuliwa…

Read More