Mtifuano mabasi ya Ngorika, Jaji ashusha rungu

Moshi. Kwa waliokuwa wakisafiri kwa mabasi ya Ngorika kutoka Moshi hadi Dar es Salaam miaka ya 90, wanaweza kuwa na swali, ni wapi mabasi hayo yapo? Jibu ni kuwa, kulikuwa na mtifuano wa wanafamilia mahakamani. Miaka ya 1990 hadi 2000 mabasi ya Ngorika yalitoa ushindani kibiashara katika njia hiyo lakini yalipotea barabarani. Jaji Safina Simfukwe…

Read More

Rais Samia: Nilimuondoa Kidata kwa sababu atadata

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan ametoa sababu za kumuondoa aliyekuwa Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata kwa kusema aliona mwisho wa siku ‘atadata’ (atachanganyikiwa). Samia amesema “Kidata alifanya kazi nzuri lakini niliona atadata, sasa nakupeleka wewe kijana wa Dar es Salaam mtoto wa mjini uhuni wote uliopo TRA umeufanya…

Read More

Hii hapa njia ya kupunguza gharama kilimo cha umwagiliaji

Dar es Salaam. Matumizi ya umeme jua kama nishati ya kusukuma maji kwa ajili ya kilimo cha umwagiliaji ni moja ya njia inayoweza kupunguza gharama za uzalishaji kwa wakulima. Hiyo ni kutokana na kutohitaji fedha kila siku kwa ajili ya kununua mafuta kwa ajili ya jenereta litakalosukuma maji kwenda kwenye mashamba kutoka kwenye vyanzo, badala…

Read More

Sh85 milioni kuboresha mazingira ya wavuvi Bagamoyo

Bagamoyo. Katika juhudi za kulinda mazingira ya bahari na mazalia ya samaki, vijiji vya Pande na Kaole vilivyo katika kata za Zinga na Dunda mkoani Pwani, vimetengewa zaidi ya Sh85.11 milioni ili kuvisaidia Vikundi vya usimamizi wa rasilimali (BMU) kufaidika na mazao ya bahari. Akizungumza jana Agosti 2, 2024 katika mkutano wa hadhara katika Kijiji…

Read More

Kaseja hesabu kali dhidi ya Tabora Utd

WAKATI Ligi Kuu imesimama kupisha kalenda ya FIFA kwa mechi za kimataifa ambapo Taifa Stars itashuka uwanjani Machi 26 kucheza na Morocco katika mchezo wa kuwania kufuzu ushiriki wa fainali za Kombe la Dunia 2026, kocha wa Kagera Sugar, Juma Kaseja ameanza hesabu kali kuiwinda Tabora United katika mechi ya 16 Bora ya michuano ya…

Read More