KMC sasa yakubali yaishe Bara

KIPIGO cha bao 1-0 ilichopewa na Simba katika mechi ya Ligi Kuu Bara iliyopigwa jana jijini hapa kutokana na bao la mapema la Saido Ntibazonkiza, limelifanya benchi la ufundi la KMC kukiri mambo yamewatibukia na sasa wanapambana kumaliza nafasi ya tano katika msimamo wa ligi hiyo. KMC ilikuwa ikiwania nafasi ya nne ili ikate tiketi…

Read More

KASEKENYA AIPA TANROADS WIKI MOJA MALINYI KUFIKIKA

  Naibu Waziri wa Ujenzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ametoa wiki moja kwa Meneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS), mkoa wa Morogoro kuhakikisha anarudisha Mawasiliano ya barabara kati ya wilaya ya Ifakara na Malinyi katika kijiji cha Misegese, mkoani humo ili kuruhusu magari kupita mara baada ya daraja la Mto Fulua kuharibika kutokana na mafuriko. Kasekenya…

Read More

MRAMBA AONYA WANAOTEMBEA NA MAJINA YA WAGOMBEA MIFUKONI

Na Khadija Kalili Michuzi Tv KATIBU wa Siasa,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),David Mramba ametoa onyo kali kwa baadhi ya wanachama wake kwa watu walioanza kampeni kabla ya wakati wa uchaguzi huku baadhi ya wanachama wake wakitembea na majina ya wagombea mifukoni mwao kua watachukuliwa hatua kali za kwenda kinyume na maadili. “Nasema…

Read More

Kipa Mnigeria ampa tuzo Aziz Ki

KIPA wa Tabora United, John Noble ameshindwa kujizuia na kuweka bayana kwa mtazamo wake Kiungo Bora kwa msimu huu wa Ligi Kuu Bara ni Stephane Aziz KI na kutoa sababu za kumpa tuzo nyota huyo wa Yanga anayeongoza kwa mabao akilingana na Feisal Salum ‘Fei Toto’ wa Azam FC. Kipa huyo aliyetunguliwa mara mbili msimu…

Read More

WANANCHI TUNZENI MIUNDOMBINU YA BARABARA – MHE. LONDO

NA OR-TAMISEMI , SINGIDA KAMATI ya kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa rai kwa wananchi wa kata ya Minyughe na Makilawa kuhakikisha wanatunza miundombinu ya daraja la MInyughe lililojengwa kwa gharama ya shilingi bilioni 1.8 Rai hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Kamati Mhe.Denis Londo leo Mei 25,2024 wakati…

Read More

Profesa Mkumbo azitaka kampuni kuweka mkazo maeneo ya vijijini

Dar es Salaam. Waziri wa Mipango na Uwekezaji nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo amezitaka kampuni zinazotaka kuwekeza nchini kutilia mkazo maeneo ya vijijini, akibainisha idadi kubwa ya Watanzania wanaishi katika maeneo hayo. Profesa Mkumbo amesema hayo mwishoni mwa wiki wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya Craft Silicon nchini Tanzania, inayotoa huduma za miamala ya fedha…

Read More