Waziri Kikwete azindua miongozo mitatu, mifumo ya ajira

Dodoma. Serikali imezindua miongozo mitatu na mifumo miwili ambayo inalenga kuondoa malalamiko ya kiutendaji kwa watu wanaoomba ajira na kuweka wazi taarifa zote zinazohusu masuala ya ajira. Miongozo na mifumo hiyo imezinduliwa leo Ijumaa, Agosti 22, 2025 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Ridhiwan Kikwete….

Read More

Mapya yaibuka mahakamani kesi ya wagombea urais CCM

Dodoma/Dar. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imeifuta kesi ya kikatiba ya kupinga uteuzi wa Samia Suluhu Hassan, kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Uamuzi huo umetolewa kutokana na pingamizi la awali lililowekwa na Chama cha Mapinduzi (CCM). Kesi hiyo imefutwa leo Agosti 22, 2025 na jopo la majaji Joachim Tiganga (kiongozi wa jopo),…

Read More

Maagizo ya Waziri Jafo kwa bodi mpya ya Tantrade

Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo amewataka wajumbe wa Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) kusimamia uadilifu kama nguzo ya msingi katika uongozi wao. Amesema uadilifu ndiyo msingi wa kusimamia taasisi za umma na kwamba bila uadilifu, jitihada zote za kuimarisha biashara haziwezi kufanikisha malengo…

Read More

WAZIRI RIDHIWANI KIKWETE AZINDUA MIONGOZO NA MIFUMO YA KIELEKTRONIKI YA OFISI YA WAZIRI MKUU

Na; Mwandishi Wetu – DODOMA Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amezindua miongozo mitatu na mifumo ya kielektroniki miwili ambayo inalenga kuimarisha uratibu, usimamizi na uendeshaji wa masuala ya Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu. Miongozo na Mifumo iliyozinduliwa ni pamoja na Mwongozo…

Read More

TPSF yaiuma sikio TRA jinsi ya kuongeza mapato

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na kilio cha makusanyo madogo ya kodi ikilinganishwa na shughuli za kiuchumi zilizopo, Taasisi ya sekta binafsi nchini (TPSF) imeeleza hatua ambazo zikichukuliwa zitabadilisha hali hiyo. Akizungumza leo Agosti 22,2025 wakati wa kikao kazi cha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na maofisa watendaji wakuu wa kampuni zilizo chini ya TPSF,…

Read More

Kauli za Polepole zawaibua INEC, Nida

Dar es Salaam. Kauli ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kwamba mifumo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeunganishwa na ile ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), imewaibua wakuu wa taasisi hizo na kukanusha madai hayo. Wakuu hao wamebainisha kwamba hakuna mfumo wowote kwenye…

Read More

Beki Mkongo ashusha presha Tanzania Prisons

BEKI mpya wa Tanzania Prisons, Heritier Lulihoshi, raia wa DR Congo amesema ni jambo la furaha kwake kuendelea kukiwasha katika Ligi Kuu Tanzania Bara, huku akiwashusha presha maafande hao kwa kusema anaamini mambo yatakuwa mazuri msimu mpya kuliko uliopita. Lulihoshi amesaini mwaka mmoja ndani ya maafande hao baada ya kuachana na Dodoma Jiji aliyojiunga nayo…

Read More

Bodaboda, bajaji watajwa vyanzo vya ajali Geita

Geita. Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Geita (GGML) kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi, imezindua kampeni ya uhamasishaji kuhusu usalama barabarani, lengo kukabiliana na ajali za barabarani. Kampeni hiyo inalenga hasa madereva wa bodaboda na bajaji, kufuatia takwimu zinazoonyesha kuwa vyombo hivyo vya usafiri vinaongoza kwa kusababisha ajali nyingi barabarani. Akizungumza Agosti 22, 2025 wakati…

Read More